Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HEMEDY AALIKWA ZAMBIA KUIGIZA FILAMU

Hemedy Suleiman'PHD'.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

SHAMSA FORD:FILAMU YA ‘I HATE MY WIFE’ ILIKUWA NI NGUMU SANA KWANGU KUIGIZA,KWA SABABU YA KUIGIZA KICHAWI.

Msanii wa filamu za Kibongo,Shemsa Ford amefunguka kati ya filamu iliyompa wakati mgumu wakiwa ‘’location’ ni filamu ya I hate my wife kwani aliigiza kama mke mchawi anayemroga mumewe.’Yaani kati ya filamu iliyonipa wakati mgumu kuigiza ni wakati naigiza filamu ya I hate my wife kutokana na kuigiza kama mchawi mshabiki walijua kuwa ndiyo tabia yangu lakini pia kuvaa uhusika wa kiuchawi ni ngumu sana’’alisema Shemsa Ford.

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford ndani ya burundi : Aalikwa kufanya filamu na wasanii wa huko

Mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu nchini Shamsha Ford a.k.a mama Ney wa mitego ameendelea kuiwakilisha vyema tasnia ya filamu nchini baada ya kualikwa nchini Burundi na wasanii wakubwa wa filamu nchini humo kwa ajili ya kufanya filamu pamoja nao.

Shamsa amesema kuwa filamu hiyo itawahusisha wasanii tofauti kutoka Rwanda,Burundi,Uganda Tanzania, na amewaomba watanzania wamuombee heri ili afanye vizuri kwenye filamu hiyo.

Hapo jana mwanadada Shamsa alipata nafasi ya kuongea na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Neema wa 20%: Sijawahi Kuigiza Filamu za Kikubwa

MWIGIZAJI wa kike mwenye hisia katika filamu za majonzi Asfa Omary ‘Neema wa 20%’ amefunguka kwa kusema kuwa toka aanze kuigiza alikuwa hajawahi kuigiza filamu akivaa uhusika kama mtu mzima bali ni mtoto tu, lakini kwa mara ya kwanza ameigiza kama mama mjamzito.

“Nimeigiza filamu nyingi sana lakini hata siku moja nilikuwasijawahi kabisa kuigiza filamu za kiutu uzima nikiwa kama mama mjamzito au mama wa familia, lakini kwa mara ya kwanza katika filamu ya Huba nimeigiza hivyo ilikuwa kazi...

 

9 years ago

Bongo Movies

Sijawahi Kuigiza Filamu za Kikubwa- Neema 20%

MWIGIZAJI wa kike mwenye hisia katika filamu za majonzi Asfa Omary ‘Neema wa 20%’ amefunguka kwa kusema kuwa toka aanze kuigiza alikuwa hajawahi kuigiza filamu akivaa uhusika kama mtu mzima bali ni mtoto tu, lakini kwa mara ya kwanza ameigiza kama mama mjamzito.

“Nimeigiza filamu nyingi sana lakini hata siku moja nilikuwasijawahi kabisa kuigiza filamu za kiutu uzima nikiwa kama mama mjamzito au mama wa familia, lakini kwa mara ya kwanza katika filamu ya Huba nimeigiza hivyo ilikuwa kazi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rihanna akubali kuigiza katika filamu mpya

Mwelekezi wa filamu kutoka Ufaransa Luc Besson amefichua kwamba mwanamuziki mashuhuri duniani Rihanna ataigiza kwenye filamu yake ijayo.

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna kuigiza kwenye filamu mpya ‘Valerian’

Director atakayeiongoza filamu mpya iitwayo ‘Valerian’, Luc Besson ametangaza rasmi kuwa mwimbaji maarufu Rihanna ataigiza kwenye filamu hiyo na atakuwa na nafasi kubwa. Kupitia Instagram Luc aliandika, “RIHANNA is in VALERIAN!!!!! ….and she has a big part!! I’m Sooo excited!!!”. Filamu hiyo ambayo itakuwa na bajeti kubwa itaanza kushootiwa mwezi January, 2016 huko Ufaransa, huku […]

 

11 years ago

Bongo5

Bongo Movies: Majuto, Hemedy, Johari watoa filamu mpya (Picha)

Hemedy, Mzee Majuto na Johari wameingiza sokoni filamu zao mpya. Nao Mzee Majuto na Hemedy wameachia filamu yao Kimbulu iliyofanyika jijini Mwanza. “Sio kila unayemkuta kijijini ni mshamba wengine wanajua na wanaweza kuliko wewe. Mzee Mbunda na wajukuu zake jembe na edo madirector kutoka mjini wanaingia kijijini na kuwa na maisha ya KIMBULU. yaan paka […]

 

9 years ago

Bongo5

Meek Mill kukosa shavu la kuigiza filamu ya Will Smith kutokana na kesi yake

Meek-Mill

Rapper Meek Mill atashindwa kuigiza uhusika wake katika filamu ya Will Smith kutokana na hivi karibuni kupatikana na hatia ya kukiuka masharti ya muda wa matazamio aliopewa na mahakama kufuatia kesi ya miaka 15 iliyopita ya kumiliki silaha na madawa ya kulevya.

Meek-Mill

Rapper huyo wa Philadelphia, anatarajiwa kusomewa hukumu yake February 5.

Kwa mujibu wa mtandao wa Page Six, Meek Mill alikuwa amepanga kusafiri kwenda Hollywood November kujadili uwezekano wa kuigiza kwenye filamu iitwayo ’12...

 

9 years ago

Bongo5

Mdogo wa kiume wa Lupita Nyong’o, Peter Nyong’o apata shavu la kwanza la kuigiza filamu ya Hollywood

Mdogo wa kiume wa mwigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o aitwaye Peter Nyong’o ameanza kufata nyayo za dada yake kwa kupata shavu la kuigiza kwenye filamu mpya huko Hollywood. Peter amepata nafasi ya kucheza kwenye filamu ya ‘Nocturnal Animals’ ya Tom Ford ambayo itatoka mwakani 2016. Hii itakuwa ndio mara yake ya kwanza kugiza kwenye filamu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani