Diamond: Sina beef na Davido, watu walinielewa vibaya tu!
Kwa mara ya kwanza Diamond Platnumz amezungumzia kile kinachoaminika kuwa ni beef kati yake na msanii wa Nigeria, Davido iliyotokana na ushindi wa Idris kwenye Big Brother Africa. Akiongea na waandishi wa habari jana baada ya kuwasili jijini Kampala, Uganda kwaajili ya kutumbuiza kwenye party ya mpenzi wake mpya, Zari The Bosslady, Diamond alisema watu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jwk6iuDDPE8/default.jpg)
10 years ago
Bongo502 Sep
Wizkid aizungumzia beef yake na Davido, asema hana beef na mtu (video)
9 years ago
Bongo523 Dec
Video: Davido aongelea sakata la BBA na alivyowakera WaTZ, ‘nilieleweka vibaya, Diamond ni kaka yangu angenitetea’
![diamond-na-davido-wakicheza-kwa-madaha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond-na-davido-wakicheza-kwa-madaha-300x194.jpg)
Kwa mara ya kwanza na kwa urefu zaidi, Davido amelizungumzia sakata lilitotokea December mwaka jana la ushindi wa Idris Sultan kwenye Big Brother Africa na jinsi tweet yake ilivyowakera Watanzania.
Akiongea kwenye The Sporah Show, Davido alisema tweet ile hakuandika kuwalenga Watanzania bali kampuni ya Multi-Choice inayoanda shindano hilo ambayo pia ndio waandaaji wa tuzo za Channel O. Kabla ya hapo Davido alikuwa ametajwa kuwania tuzo tano lakini alikosa zote. Diamond alishinda tatu.
“Na...
9 years ago
Bongo502 Oct
Baghdad atahadharisha watu wasijekuelewa vibaya wimbo wake ujao ‘Ninae’, amewataja Diamond na Alikiba
11 years ago
Bongo531 Jul
Iyanya awashauri Davido na Wizkid, ni kuhusu beef yao!
10 years ago
Bongo511 Nov
Shetta: Sina tatizo na Hemedy, itakuwa alinielewa vibaya
11 years ago
Bongo530 Jul
Dudu Baya: Alikiba na Diamond tengenezeni pesa, beef sio issue!!
10 years ago
Bongo515 Aug
Babu Tale: Sidhani kama kuna beef kati ya Diamond na Alikiba