Iyanya awashauri Davido na Wizkid, ni kuhusu beef yao!
Mwimbaji aliyeshirikishwa na Diamond Platnumz katika single mpya ‘Bum bum’, Iyanya wa Nigeria ni miongoni mwa watu wanaotamani kuwaona Davido na Wizkid wanamaliza beef yao au hata wakifanya kazi pamoja. Baada ya Davido na Wizkid kurushiana vijembe kupitia twitter hivi karibuni bila kutajana majina, wakitambiana kuhusu idadi ya watu wanaoingia kwenye show zao, Iyanya nae […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Sep
Wizkid aizungumzia beef yake na Davido, asema hana beef na mtu (video)
9 years ago
Bongo506 Jan
Haya ni mambo matano aliyoyasema Alikiba kuhusu Davido, na mpango wa collabo yao
![Ali na dav](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Ali-na-dav-300x194.jpg)
Mwaka 2015 staa wa Nigeria, Davido alitangaza kuwa mashabiki wajiandae kupokea collabo yake na Alikiba, kitu kilichowafurahisha mashabiki wengi wa muziki hususan team Alikiba.
“I have a song coming out with Alikiba too, that’s gonna be crazy” alisema Davido alipohojiwa na Millard Ayo kwenye Red Carpet ya tuzo za MTV MAMA mwaka jana 2015.
Kwa bahati mbaya hadi sasa tukiwa tayari tumeingia kwenye mwaka mpya 2016 collabo hiyo bado haijafanyika wala hakuna dalili zozote za kurekodiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jwk6iuDDPE8/default.jpg)
10 years ago
Bongo518 Dec
Diamond: Sina beef na Davido, watu walinielewa vibaya tu!
10 years ago
Bongo510 Dec
Wizkid, Iyanya na Waje waungana na Tanzania kusherehekea siku ya Uhuru
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Baada ya Davido, Diamond kutoka na Iyanya
BAADA ya kufanya vizuri na ngoma yake ya ‘Number One Remix’ aliyoimba na msanii kutoka Nigeria, Davido, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ amesema kwa...
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Davido, Wizkid wafungiwa
LAGOS, Nigeria
SHIRIKA la Utangazaji nchini Nigeria (NBC), limetangaza kuzifungia nyimbo mbalimbali zisizo na maadili, zikiwemo za wasanii nyota wa nchini humo, Davido na Wizkid.
Wimbo wa Davido uliotangazwa kufungiwa ni ‘In Do Me’ na wimbo wa Wizkid uliofungiwa ni ‘In My Bed’, nyimbo hizo zimefungiwa kupigwa kwenye vituo vyote vya runinga na radio nchini humo kutokana na kukosa maadili kwa jamii.
Nyimbo nyingine ambazo zimefungiwa kupigwa kwenye radio na runinga nchini humo ni pamoja na...
10 years ago
Bongo513 Oct
Tudd Thomas atengeneza ngoma zingine za Davido, Iyanya na KCEE