Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Davido, Diamond kutoka na Iyanya

BAADA ya kufanya vizuri na ngoma yake ya ‘Number One Remix’ aliyoimba na msanii kutoka Nigeria, Davido, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ amesema kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Tuzo za AFRIMMA kufanyika Jumamosi hii (July 26) Marekani, T-Pain, Davido, Diamond, Iyanya kutumbuiza

Tuzo za ‘African Muzik Magazine Awards’ (AFRIMMA) zinatarajiwa kufanyika Jumamosi ya wiki hii (July 26) huko Texas, Marekani. Wasanii walioko kwenye orodha ya kutumbuiza ni pamoja na Davido, Iyanya, Diamond Platnumz, Khulichana, Flavour, 2Face, T-Pain na wengine. Nominees wa Tanzania katika tuzo hizo ni pamoja na Diamond Platnumz ambaye anawania vipengele 5, Ben Pol,Lady Jaydee, […]

 

11 years ago

Bongo5

Iyanya awashauri Davido na Wizkid, ni kuhusu beef yao!

Mwimbaji aliyeshirikishwa na Diamond Platnumz katika single mpya ‘Bum bum’, Iyanya wa Nigeria ni miongoni mwa watu wanaotamani kuwaona Davido na Wizkid wanamaliza beef yao au hata wakifanya kazi pamoja. Baada ya Davido na Wizkid kurushiana vijembe kupitia twitter hivi karibuni bila kutajana majina, wakitambiana kuhusu idadi ya watu wanaoingia kwenye show zao, Iyanya nae […]

 

10 years ago

Bongo5

Tudd Thomas atengeneza ngoma zingine za Davido, Iyanya na KCEE

Producer Tudd Thomas ambaye mwaka uliopita na mwaka huu ametayarisha nyimbo kubwa barani Afrika ikiwemo ‘Number 1 remix ya Diamond Platnumz f/ Davido, Bum Bum ya Diamond aliyomshirikisha Iyanya, Ndagushima ya Ommy Dimpoz na Prokoto ya Victoria Kimani, amesema kuna ngoma zitakuja alizowafanyia wasanii hao wakubwa wa Nigeria. “Kuna projects ambazo zipo under carpet sababu […]

 

9 years ago

Bongo5

Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos

12301250_207304429604231_67909760_n

Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.

12301250_207304429604231_67909760_n

Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.

“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.

Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.

12357796_1532490560405730_1494566873_n
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia

Jiunge na...

 

9 years ago

Global Publishers

Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido, Iyanya, Kiss Daniel Nigeria leo

Linah Sanga

Estelina Peter Sanga.

Na Mwandishi wetu

Wanamuziki nyota wa Bongo Fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy leo ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.

Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani