Haya ni mambo matano aliyoyasema Alikiba kuhusu Davido, na mpango wa collabo yao
Mwaka 2015 staa wa Nigeria, Davido alitangaza kuwa mashabiki wajiandae kupokea collabo yake na Alikiba, kitu kilichowafurahisha mashabiki wengi wa muziki hususan team Alikiba.
“I have a song coming out with Alikiba too, that’s gonna be crazy” alisema Davido alipohojiwa na Millard Ayo kwenye Red Carpet ya tuzo za MTV MAMA mwaka jana 2015.
Kwa bahati mbaya hadi sasa tukiwa tayari tumeingia kwenye mwaka mpya 2016 collabo hiyo bado haijafanyika wala hakuna dalili zozote za kurekodiwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies21 Apr
Haya Ndio Aliyoyasema Diamond Kuhusu Hali ya Wema Kutoshika Mimba
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameeleza kulifahamu kwa muda mrefu tatizo la aliyekuwa mpenzi wake , Wema Sepetu la kutoshika mimba.
Akiongea na kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV, Diamond alisema wakati wako pamoja waliwahi kuzunguka kwa wataalam mbalimbali kujaribu kupata tiba lakini hawakufanikiwa.
Alisema ilifika wakati alimweleza tu kuwa akubali hali hiyo.
Diamond alizungumzia pia lile andiko la Wema Sepetu mtandaoni ambapo alielezea tatizo
Akizungumzia andiko la Wema...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Haya ndiyo aliyoyasema Neymar kuhusu kuwepo kwake katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo Za mchezaji bora duniani (Ballon D’or)
Mchezaji wa klabu ya Barcelona, Neymar.
Na Rabi Hume
Staa wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Neymar Da Silva Santos maarufu kama Neymar mwishoni kwa wiki hii alizungumzia kuhusu kushiriki kwake katika tuzo za mchezaji bora duniani maarufu kama Ballon d’Or zinazotolewa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Neymar amesema amekuwa akishiriki katika tuzo hizo lakini si kitu ambacho amekuwa akikipa nafasi katika maisha yake ya soka kutokana na kuwepo kwa wachezaji wengine ambao...
10 years ago
Bongo507 Feb
Alikiba kuhusu collabo na Diamond: Nikiwa na wimbo unaomfaa ntamshirikisha
9 years ago
MillardAyo06 Jan
EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido
Ni Exclusive Interview Alikiba aliyoifanya na MillardAyo baada ya maswali kuendelea kuwepo kuhusu walipofikia baada ya Davido kuongea kwenye Interview na Millard Ayo July 2014 na kusema single nyingine na mkali wa bongofleva itakua ni yeye na Alikiba, sasa kujua alichosema Alikiba tazama hii Interview hapa chini.
The post EXLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake na Davido appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo527 Nov
Video: Alikiba na Sauti Sol washoot video ya collabo yao
![12142150_1495334807428324_1398203255_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12142150_1495334807428324_1398203255_n-300x194.jpg)
Wimbo wa Sauti Sol waliomshirikisha Alikiba haupo kwenye album yao ‘Live and Die in Afrika’ lakini huenda video yake ikatoka mapema.
Kiba ameshare kipande kifupi cha video kikiwaonesha wakiwa kwenye chumba kinachoonekana kama sehemu ya kufanyia video.
“It’s Coming @sautisol #KujuaKaziRahaSana #KingKiba,” ameandika.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...
9 years ago
Bongo519 Nov
Exclusive: Sauti Sol waeleza kwanini hawajaweka collabo walizorekodi na Alikiba, Vanessa Mdee na Joh Makini kwenye album yao mpya
![Sauti-Sols-Album-Cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Sauti-Sols-Album-Cover1-300x194.jpg)
Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya wiki hii wametoa cover pamoja na orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yao mpya, ‘Live And Die In Afrika’ itakayozinduliwa kwa vyombo vya habari Ijumaa ya Novemba 20.
Baada ya mimi binafsi kuiona ‘tracklist’ ya album hiyo yenye nyimbo 15, nilipata maswali kuhusu kwanini hawajaweka nyimbo walizowashirikisha wasanii wa Tanzania kwenye album yao.
Katika mahojiano waliyofanya na kipindi cha Mseto cha Radio Citizen na Willy M.Tuva mwezi August, 2015,...
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Mambo matano muhimu kuhusu virusi vya corona
9 years ago
Bongo518 Nov
Exclusive: Haya ndio mambo ambayo Alikiba anahisi kufanyiwa ili asifanikiwe
![11351693_884493951620505_1998549226_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11351693_884493951620505_1998549226_n-300x194.jpg)
Alikiba aliishut down Instagram Jumatatu hii kwa post iliyozua maswali mengi.
Wengi waliitafsiri post hiyo kama amelalamika kukosa tuzo za Afrima zilizotolewa Jumapili hii nchini Nigeria, licha ya kutajwa kwenye vipengele vinne.
Akiongea na kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM kufafanua kuhusu post hiyo ya Instagram iliyofutwa tayari, Kiba alisema aliamua kuandika hivyo kuwashukuru mashabiki wake kwa namna wanavyompigania na kuwahakikisha kuwa anajitahidi kwa nguvu zake zote kuwafurahisha...
9 years ago
Bongo510 Sep
Ben Pol ayasema haya kuhusu 2Face na D’Banj, ni collabo?