Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haya Ndio Aliyoyasema Diamond Kuhusu Hali ya Wema Kutoshika Mimba

Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameeleza kulifahamu  kwa muda mrefu  tatizo la aliyekuwa mpenzi wake , Wema Sepetu la kutoshika mimba.

Akiongea na kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV, Diamond alisema wakati wako pamoja waliwahi kuzunguka kwa wataalam mbalimbali kujaribu kupata tiba lakini hawakufanikiwa.

Alisema ilifika wakati alimweleza tu kuwa akubali hali hiyo.

Diamond alizungumzia pia lile andiko la Wema Sepetu mtandaoni ambapo alielezea tatizo

Akizungumzia andiko la Wema...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Haya ni mambo matano aliyoyasema Alikiba kuhusu Davido, na mpango wa collabo yao

Ali na dav

Mwaka 2015 staa wa Nigeria, Davido alitangaza kuwa mashabiki wajiandae kupokea collabo yake na Alikiba, kitu kilichowafurahisha mashabiki wengi wa muziki hususan team Alikiba.

Ali na dav

“I have a song coming out with Alikiba too, that’s gonna be crazy” alisema Davido alipohojiwa na Millard Ayo kwenye Red Carpet ya tuzo za MTV MAMA mwaka jana 2015.

Kwa bahati mbaya hadi sasa tukiwa tayari tumeingia kwenye mwaka mpya 2016 collabo hiyo bado haijafanyika wala hakuna dalili zozote za kurekodiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Haya ni maneno ya Wema Sepetu kuhusu inshu ya kumdai Diamond

Ukubwa wa stori hii ambayo jana aliizungumzia Martin Kadinda kama Meneja wa Wema Sepetu imefanya millardayo.com kutaka kuujua undani zaidi kutoka kwa Wema mwenyewe.Kwenye exclusive Interview,Wema amesema>>’Taarifa hii imenishtua sana maana asubuhi ya jana nimekuta kwenye gazeti wameandika nikashangaa yaani hapa nimekaa kwa sababu muda mwingi siendeshi mimi akaunti yangu ya twitter,anaiendesha mtu wangu wa blog Bestizo maana nilikua nataka kutoa tamko’‘Nilishasema ukurasa huu tulishaufunga na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Haya ndiyo aliyoyasema Neymar kuhusu kuwepo kwake katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo Za mchezaji bora duniani (Ballon D’or)

neymar-fc-barcelona-2013-2014

Mchezaji wa klabu ya Barcelona, Neymar.

Na Rabi Hume

Staa wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Neymar Da Silva Santos maarufu kama Neymar mwishoni kwa wiki hii alizungumzia kuhusu kushiriki kwake katika tuzo za mchezaji bora duniani maarufu kama Ballon d’Or zinazotolewa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).

Neymar amesema amekuwa akishiriki katika tuzo hizo lakini si kitu ambacho amekuwa akikipa nafasi katika maisha yake ya soka kutokana na kuwepo kwa wachezaji wengine ambao...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA-2

NiLiaNza wiki iliyopita kueleza kinachosababisha kutoshika mimba. Leo naendelea kufafanua. Kuna njia au aina mbili za wanawake kushindwa kushika mimba au kwa maneno rahisi, ugumba kitaalamu Infertility,  ambao unatambuliwa kitabibu. Aina moja huitwa kitaalamu Secondary infertility na aina nyingine huitwa Primary infertility.
Ugumba unaotokea baadaye maishani hujulikana kitaalamu kama Secondary infertility
Ugumba huu...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA

KWANZA kabisa inabidi tujue kinachosababisha mwanamke asipate mimba au watu wengine huita ugumba.
Ugumba ni ile hali ya mwanamke kupoteza uwezo wa kubeba mimba au mwanaume kushindwa kusababisha ujauzito. Na kwa mwanamke hali hii hutokea pale anaposhindwa kubeba ujauzito na hii inaweza kusababishwa na mambo mbalimbali kama kuvurugika kwa homoni, uvimbe katika kizazi, maambukizi ya aina mbalimbali kwenye kizazi cha mwanamke na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Haya Ndio Maelezo ya JB Kuhusu Watu Wanaotaka Kuigiza Naye

Habari,mara nyingi nimekuwa nikipokea maombi ya watu kutaka kuigiza, jamani kuna team ya ma director ndio wanafanya kazi hii sio mimi, na hawawezi kukuchagua kwa kusema tu, mpaka wakuone ukiigiza mahali nawavutiwe.

Please  anza hata kwenye tamthilia.naamini wapo waigizaji wengi wenye vipaji lakini ni lazima uanzie sehemu kabla ya kufika kwetu.asante. JB ameandika haya kwenye ukurasa mtandaoni.

 

9 years ago

MillardAyo

Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange!

Wiki moja iliyopita, Mtanzania Agness Masogange alikuwa topic kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya post yake kwenye Instagram kuzua mjadala mkubwa na kuibua uvumi mkubwa sana kati yake na Davido staa wa muziki kutoka Nigeria. Masogange alipost kipimo cha ujauzito kwenye page yake ya Instagram, post iliyoibua mjadala mkubwa Nigeria na Tanzania na kuacha […]

The post Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani