FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA-2
![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR47yBm5ZYSQALfHr**RAQQRy*wRLtKBaeIqosIZWDOZYNG6XPYKrq2-QKemLImGUz7doWVYNkionutdxQEq-0Ro/pregnantwomanatdoctor.jpg)
NiLiaNza wiki iliyopita kueleza kinachosababisha kutoshika mimba. Leo naendelea kufafanua. Kuna njia au aina mbili za wanawake kushindwa kushika mimba au kwa maneno rahisi, ugumba kitaalamu Infertility, ambao unatambuliwa kitabibu. Aina moja huitwa kitaalamu Secondary infertility na aina nyingine huitwa Primary infertility. Ugumba unaotokea baadaye maishani hujulikana kitaalamu kama Secondary infertility Ugumba huu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXI85GHmg1yhfSHjJ5nCT1bK82quspxwoYf5tTqxk7EyotOxfsgpemFO0-T2xnwLSpeofJgFixCO5ZyEKKun4U0u/the_new_miscarriage_mandate.jpg?width=650)
FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrzHosnOf4sTWA8Glkrf1ktwl*g5m4JPFWI*WQCddaE4zlqShhinjLBCDvtH8qESb0kwmg*Gb8uWG7PGohyNC3tT/mainsymptomsofdiabetes_1.png?width=650)
FAHAMU KINACHOSABABISHA KISUKARI-4
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Fahamu kinachosababisha kiharusi (Stroke)
Kiharusi kinampata binadamu baada ya eneo la ubongo kukosa damu kwa saa 24 ama zaidi au kunapotokea kizuizi cha damu au mishipa ya damu kushindwa kusafirisha damu au mshipa huo unapopasuka.
Kiharusi kimegawanyika katika aina kuu mbili kulingana na jinsi kinavyotokea, kwanza ni:
1. Kiharusi cha kukosa hewa kwenye ubongo kitaalamu huitwa Ischemic Stroke.
Aina hii ya kiharusi hutokea iwapo usambazaji wa damu katika sehemu ya ubongo hupungua na kusababisha tishu za ubongo za eneo lililoathirika...
10 years ago
Bongo Movies21 Apr
Haya Ndio Aliyoyasema Diamond Kuhusu Hali ya Wema Kutoshika Mimba
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameeleza kulifahamu kwa muda mrefu tatizo la aliyekuwa mpenzi wake , Wema Sepetu la kutoshika mimba.
Akiongea na kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV, Diamond alisema wakati wako pamoja waliwahi kuzunguka kwa wataalam mbalimbali kujaribu kupata tiba lakini hawakufanikiwa.
Alisema ilifika wakati alimweleza tu kuwa akubali hali hiyo.
Diamond alizungumzia pia lile andiko la Wema Sepetu mtandaoni ambapo alielezea tatizo
Akizungumzia andiko la Wema...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Fahamu kinachosababisha maumivu ya kichwa, harara, kiungulia mara kwa mara
10 years ago
GPLKINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljyXFZ2cc2FEKJDZAhfEkWXBvOWRjS1d2WOx3dssymeB87Osb5EE3ABppfVPu*FS8SLMVc0EkQ66kx5y9yji1*XA/kisukari.png)
KINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-3
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s72-c/wema%2B%284%29.jpg)
NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-L7eHoLjJoWo/VTIF5SYWISI/AAAAAAAAsGU/by7DGbbHtLU/s640/wema%2B%284%29.jpg)
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Kinachosababisha rangi ya mkojo, kwenda haja ndogo mara kwa mara