Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA-2

NiLiaNza wiki iliyopita kueleza kinachosababisha kutoshika mimba. Leo naendelea kufafanua. Kuna njia au aina mbili za wanawake kushindwa kushika mimba au kwa maneno rahisi, ugumba kitaalamu Infertility,  ambao unatambuliwa kitabibu. Aina moja huitwa kitaalamu Secondary infertility na aina nyingine huitwa Primary infertility.
Ugumba unaotokea baadaye maishani hujulikana kitaalamu kama Secondary infertility
Ugumba huu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA

KWANZA kabisa inabidi tujue kinachosababisha mwanamke asipate mimba au watu wengine huita ugumba.
Ugumba ni ile hali ya mwanamke kupoteza uwezo wa kubeba mimba au mwanaume kushindwa kusababisha ujauzito. Na kwa mwanamke hali hii hutokea pale anaposhindwa kubeba ujauzito na hii inaweza kusababishwa na mambo mbalimbali kama kuvurugika kwa homoni, uvimbe katika kizazi, maambukizi ya aina mbalimbali kwenye kizazi cha mwanamke na...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU KINACHOSABABISHA KISUKARI-4

NA DK. A. MANDAI USHAURI SIMU: +255 717 961795                           +255 754 391743 LEO katika makala haya tutaeleza dalili za kisukari na  wiki ijayo tutafafanua madhara yake. Endelea.
Mgonjwa pia anaweza kuona dalili ya kuchoka haraka, kupungua uzito, vipele mwilini ambavyo kitaalamu huitwa diabetic dermadromes. Wagonjwa wa kisukari pia huwa katika hatari ya kupata maambukizi...

 

9 years ago

Global Publishers

Fahamu kinachosababisha kiharusi (Stroke)

stroke_hem_isoKiharusi kinampata binadamu baada ya eneo la ubongo kukosa damu kwa saa 24 ama zaidi au kunapotokea kizuizi cha damu au mishipa ya damu kushindwa kusafirisha damu au mshipa huo unapopasuka.

Kiharusi kimegawanyika katika aina kuu mbili kulingana na jinsi kinavyotokea, kwanza ni:
1. Kiharusi cha kukosa hewa kwenye ubongo kitaalamu huitwa Ischemic Stroke.
Aina hii ya kiharusi hutokea iwapo usambazaji wa damu katika sehemu ya ubongo hupungua na kusababisha tishu za ubongo za eneo lililoathirika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Haya Ndio Aliyoyasema Diamond Kuhusu Hali ya Wema Kutoshika Mimba

Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameeleza kulifahamu  kwa muda mrefu  tatizo la aliyekuwa mpenzi wake , Wema Sepetu la kutoshika mimba.

Akiongea na kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV, Diamond alisema wakati wako pamoja waliwahi kuzunguka kwa wataalam mbalimbali kujaribu kupata tiba lakini hawakufanikiwa.

Alisema ilifika wakati alimweleza tu kuwa akubali hali hiyo.

Diamond alizungumzia pia lile andiko la Wema Sepetu mtandaoni ambapo alielezea tatizo

Akizungumzia andiko la Wema...

 

9 years ago

Mwananchi

Fahamu kinachosababisha maumivu ya kichwa, harara, kiungulia mara kwa mara

Inaweza kukushangaza kuwa baadhi ya vyakula maarufu na vinavyopendwa, mathalani matunda ya jamii ya machungwa, machenza, malimao, ndimu, na mabalungi, vinaweza kukusababishia hisia za kuumwa.

 

10 years ago

GPL

KINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-2

TULIANZA wiki iliyopita kueleza kinachosababisha mtu kupata ugonjwa wa kisukari. Endelea: Seli maalumu zinazotengeneza homoni ya insulin zinapokosekana katika tezi kongosho au zinapoharibika kutokana na sababu yoyote ile husababisha ukosefu kabisa au upungufu wa kichocheo hicho kwenye damu. Mambo yanayoweza kusababisha uharibifu wa seli hizi katika tezi kongosho ni pamoja na kushambuliwa tezi hizo kunakoweza kufanywa na magonjwa...

 

10 years ago

GPL

KINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-3

LEO tunaendelea  kuwaelimisha kuhusu ugonjwa wa kisukari tukimalizia na wajawazito. endelea:
Karibu asilimia 20 mpaka 50 ya wajawazito wanaopata  kisukari huweza kuendelea kuwa na ugonjwa huo hata baada ya ujauzito na hatimaye kuwa na aina ya pili ya kisukari maishani.

KWA NINI KISUKARI HUTOFAUTIANA?
Sababu za kisukari hutofautiana kulingana na aina ya ugonjwa huo. Kwanza tuchambue mambo yanayosababisha mtu apatwe...

 

10 years ago

Vijimambo

NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO






Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...

 

9 years ago

Mwananchi

Kinachosababisha rangi ya mkojo, kwenda haja ndogo mara kwa mara

Miongoni mwa maswali ya wasomaji wetu ni sababu za mtu kukojoa mkojo wenye rangi ya njano, kwenda haja ndogo mara kwa mara na hisia za maumivu wakati ukiwa na mkojo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani