KINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-3
![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljyXFZ2cc2FEKJDZAhfEkWXBvOWRjS1d2WOx3dssymeB87Osb5EE3ABppfVPu*FS8SLMVc0EkQ66kx5y9yji1*XA/kisukari.png)
LEO tunaendelea kuwaelimisha kuhusu ugonjwa wa kisukari tukimalizia na wajawazito. endelea: Karibu asilimia 20 mpaka 50 ya wajawazito wanaopata kisukari huweza kuendelea kuwa na ugonjwa huo hata baada ya ujauzito na hatimaye kuwa na aina ya pili ya kisukari maishani. KWA NINI KISUKARI HUTOFAUTIANA? Sababu za kisukari hutofautiana kulingana na aina ya ugonjwa huo. Kwanza tuchambue mambo yanayosababisha mtu apatwe...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrzHosnOf4sTWA8Glkrf1ktwl*g5m4JPFWI*WQCddaE4zlqShhinjLBCDvtH8qESb0kwmg*Gb8uWG7PGohyNC3tT/mainsymptomsofdiabetes_1.png?width=650)
FAHAMU KINACHOSABABISHA KISUKARI-4
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Tiba ya kisukari kwa kutumia kongosho Bandia mbioni kutumika
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India
from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.
Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR47yBm5ZYSQALfHr**RAQQRy*wRLtKBaeIqosIZWDOZYNG6XPYKrq2-QKemLImGUz7doWVYNkionutdxQEq-0Ro/pregnantwomanatdoctor.jpg)
FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXI85GHmg1yhfSHjJ5nCT1bK82quspxwoYf5tTqxk7EyotOxfsgpemFO0-T2xnwLSpeofJgFixCO5ZyEKKun4U0u/the_new_miscarriage_mandate.jpg?width=650)
FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Fahamu kinachosababisha kiharusi (Stroke)
Kiharusi kinampata binadamu baada ya eneo la ubongo kukosa damu kwa saa 24 ama zaidi au kunapotokea kizuizi cha damu au mishipa ya damu kushindwa kusafirisha damu au mshipa huo unapopasuka.
Kiharusi kimegawanyika katika aina kuu mbili kulingana na jinsi kinavyotokea, kwanza ni:
1. Kiharusi cha kukosa hewa kwenye ubongo kitaalamu huitwa Ischemic Stroke.
Aina hii ya kiharusi hutokea iwapo usambazaji wa damu katika sehemu ya ubongo hupungua na kusababisha tishu za ubongo za eneo lililoathirika...
9 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
TIBA MBADALA: Kunywa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi