Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-3

LEO tunaendelea  kuwaelimisha kuhusu ugonjwa wa kisukari tukimalizia na wajawazito. endelea:
Karibu asilimia 20 mpaka 50 ya wajawazito wanaopata  kisukari huweza kuendelea kuwa na ugonjwa huo hata baada ya ujauzito na hatimaye kuwa na aina ya pili ya kisukari maishani.

KWA NINI KISUKARI HUTOFAUTIANA?
Sababu za kisukari hutofautiana kulingana na aina ya ugonjwa huo. Kwanza tuchambue mambo yanayosababisha mtu apatwe...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-2

TULIANZA wiki iliyopita kueleza kinachosababisha mtu kupata ugonjwa wa kisukari. Endelea: Seli maalumu zinazotengeneza homoni ya insulin zinapokosekana katika tezi kongosho au zinapoharibika kutokana na sababu yoyote ile husababisha ukosefu kabisa au upungufu wa kichocheo hicho kwenye damu. Mambo yanayoweza kusababisha uharibifu wa seli hizi katika tezi kongosho ni pamoja na kushambuliwa tezi hizo kunakoweza kufanywa na magonjwa...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU KINACHOSABABISHA KISUKARI-4

NA DK. A. MANDAI USHAURI SIMU: +255 717 961795                           +255 754 391743 LEO katika makala haya tutaeleza dalili za kisukari na  wiki ijayo tutafafanua madhara yake. Endelea.
Mgonjwa pia anaweza kuona dalili ya kuchoka haraka, kupungua uzito, vipele mwilini ambavyo kitaalamu huitwa diabetic dermadromes. Wagonjwa wa kisukari pia huwa katika hatari ya kupata maambukizi...

 

9 years ago

Mwananchi

Tiba ya kisukari kwa kutumia kongosho Bandia mbioni kutumika

Kwa kawaida wataalamu wa afya wanaugawa ugonjwa wa kisukari katika aina kuu mbili; kisukari cha aina ya kwanza ambacho kinatambulishwa kama ni cha utotoni na kisukari cha aina ya pili, kinachobainishwa kuwa ni cha ukubwani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India

Image 1

from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.

Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA-2

NiLiaNza wiki iliyopita kueleza kinachosababisha kutoshika mimba. Leo naendelea kufafanua. Kuna njia au aina mbili za wanawake kushindwa kushika mimba au kwa maneno rahisi, ugumba kitaalamu Infertility,  ambao unatambuliwa kitabibu. Aina moja huitwa kitaalamu Secondary infertility na aina nyingine huitwa Primary infertility.
Ugumba unaotokea baadaye maishani hujulikana kitaalamu kama Secondary infertility
Ugumba huu...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA

KWANZA kabisa inabidi tujue kinachosababisha mwanamke asipate mimba au watu wengine huita ugumba.
Ugumba ni ile hali ya mwanamke kupoteza uwezo wa kubeba mimba au mwanaume kushindwa kusababisha ujauzito. Na kwa mwanamke hali hii hutokea pale anaposhindwa kubeba ujauzito na hii inaweza kusababishwa na mambo mbalimbali kama kuvurugika kwa homoni, uvimbe katika kizazi, maambukizi ya aina mbalimbali kwenye kizazi cha mwanamke na...

 

9 years ago

Global Publishers

Fahamu kinachosababisha kiharusi (Stroke)

stroke_hem_isoKiharusi kinampata binadamu baada ya eneo la ubongo kukosa damu kwa saa 24 ama zaidi au kunapotokea kizuizi cha damu au mishipa ya damu kushindwa kusafirisha damu au mshipa huo unapopasuka.

Kiharusi kimegawanyika katika aina kuu mbili kulingana na jinsi kinavyotokea, kwanza ni:
1. Kiharusi cha kukosa hewa kwenye ubongo kitaalamu huitwa Ischemic Stroke.
Aina hii ya kiharusi hutokea iwapo usambazaji wa damu katika sehemu ya ubongo hupungua na kusababisha tishu za ubongo za eneo lililoathirika...

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.

Ongezeko la ugonjwa wa Malaria na U.T.I kwa wananchi wanaoishi vijijini na idadi ndogo ya madaktari nchini ni baadhi ya sababu zinazochangia kwa kiasi kikubwa wagonjwa wengi kukimbilia kwa waganga wa tiba za jadi kupata matibabu licha ya magonjwa hayo kuwa na tiba za uhakika Hospitali na kwenye vituo vya Afya.

Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.

Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...

 

11 years ago

Mwananchi

TIBA MBADALA: Kunywa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi

>Kuna tiba nyingi za kitabibu, zilizogawanyikaa katika makundi mbalimbali. Kuna zile za hospitali ambazo ni lazima zinunuliwe, lakini kuna tiba ambazo kwa ushauri wa daktari hata wewe unaweza kuziandaa bila kutumia gharama kubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani