Fahamu kinachosababisha kiharusi (Stroke)
Kiharusi kinampata binadamu baada ya eneo la ubongo kukosa damu kwa saa 24 ama zaidi au kunapotokea kizuizi cha damu au mishipa ya damu kushindwa kusafirisha damu au mshipa huo unapopasuka.
Kiharusi kimegawanyika katika aina kuu mbili kulingana na jinsi kinavyotokea, kwanza ni:
1. Kiharusi cha kukosa hewa kwenye ubongo kitaalamu huitwa Ischemic Stroke.
Aina hii ya kiharusi hutokea iwapo usambazaji wa damu katika sehemu ya ubongo hupungua na kusababisha tishu za ubongo za eneo lililoathirika...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLFAHAMU AINA ZA KIHARUSI (STROKE)-2
11 years ago
GPLFAHAMU AINA ZA KIHARUSI (STROKE)
11 years ago
GPLFAHAMU AINA KUU ZA KIHARUSI (STROKE) - 3
11 years ago
GPLFAHAMU AINA KUU ZA KIHARUSI (STROKE)
10 years ago
GPLFAHAMU KINACHOSABABISHA KISUKARI-4
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Fahamu ugonjwa wa kiharusi
10 years ago
GPLFAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA-2
10 years ago
GPLFAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Fahamu kinachosababisha maumivu ya kichwa, harara, kiungulia mara kwa mara