Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAHAMU AINA ZA KIHARUSI (STROKE)-2

WIKI iliyopita tulielezea ugonjwa wa kiharusi na aina zake na tukafafanua kwa nini unawapata watu. Endelea kuelimika. Iwapo mgonjwa ataathirika sehemu ya ubongo kwenye shingo kuelekea kwenye uti wa mgongo (brainstem), mgonjwa anaweza kuwa na dalili za kuhisi mabadiliko ya harufu, ladha, kusikia na  kuona, kulegea kwa misuli ya macho (ptosis),  kupungua kwa ufahamu na kulegea kwa misuli ya uso, ulegevu wa ulimi (kushindwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FAHAMU AINA ZA KIHARUSI (STROKE)

Kiharusi au kwa Kiingereza Stroke ni kitendo cha baadhi ya viungo vya mwili kuwa na ganzi au kutojiweza kufanya kazi zake za kawaida.Kuna aina mbili za kiharusi, lakini kabla ya kuchambua hayo tuangalie, ni nini kinasababisha mtu kukumbwa na ugonjwa huu? Mtu anaweza kupata dalili za ugonjwa huu wa kiharusi na baada ya dakika chake zikaisha.
Kiharusi kinampata binadamu baada ya eneo la ubongo kukosa damu kwa saa 24 ama zaidi au...

 

11 years ago

GPL

FAHAMU AINA KUU ZA KIHARUSI (STROKE)

KIHARUSI au kwa Kiingereza Stroke ni kitendo cha baadhi ya viungo vya mwili kuwa na ganzi au kutojiweza kufanya kazi zake za kawaida. Kuna aina mbili za kiharusi lakini kabla ya kuchambua hayo tuangalie, ni nini kinasababisha mtu kukumbwa na ugonjwa huo? Mtu anaweza kupata dalili za ugonjwa huu wa kiharusi na baada ya dakika chake zikaisha.
Kiharusi kinampata binadamu baada ya eneo la ubongo kukosa damu kwa saa 24 ama zaidi au...

 

11 years ago

GPL

FAHAMU AINA KUU ZA KIHARUSI (STROKE) - 3

Dk. Mandai akimpima mgonjwa.
Na Dk Mandai A. Simu 0717961795, 0754391743
WIKI mbili katika safu hii tumekuwa tukijadili tatizo la kiharusi (stroke) na kufafanua aina za ugonjwa huu. Endelea kuelimika. Iwapo mgonjwa ataathirika sehemu ya ubongo kwenye shingo kuelekea kwenye uti wa mgongo (brain stem), mgonjwa anaweza kuwa na dalili za kuhisi mabadiliko ya harufu, ladha, kusikia na  kuona, kulegea kwa misuli ya macho...

 

9 years ago

Global Publishers

Fahamu kinachosababisha kiharusi (Stroke)

stroke_hem_isoKiharusi kinampata binadamu baada ya eneo la ubongo kukosa damu kwa saa 24 ama zaidi au kunapotokea kizuizi cha damu au mishipa ya damu kushindwa kusafirisha damu au mshipa huo unapopasuka.

Kiharusi kimegawanyika katika aina kuu mbili kulingana na jinsi kinavyotokea, kwanza ni:
1. Kiharusi cha kukosa hewa kwenye ubongo kitaalamu huitwa Ischemic Stroke.
Aina hii ya kiharusi hutokea iwapo usambazaji wa damu katika sehemu ya ubongo hupungua na kusababisha tishu za ubongo za eneo lililoathirika...

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu ugonjwa wa kiharusi

Moja ya changamoto za kiafya zenye matokeo mabaya zaidi tunazoshuhudia kwa sasa hapa Tanzania ni maradhi yatokanayo na changamoto zinazotokea kwenye mfumo wa damu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fahamu aina za ukatili wa kijinsia

UKATILI wa kijinsia ni jambo kubwa kwenye ajenda za haki za binadamu kimataifa, na unaweza kuwapata wanaume, wanawake na watoo ambao ndio waathirika wakubwa. Hali hii inatokana na mifumo mbalimbali...

 

9 years ago

Global Publishers

Fahamu aina za upungufu wa damu mwilini-2

TEST-ANEMIA-1024x576Katika makala ya wiki iliyopita tuliangazia tatizo la upungufu wa damu mwilini wengine huita Anaemia ambalo ni jina la jumla linalotumiwa kubainisha aina mbalimbali za upungufu wa damu mwilini.

Tukasema kiwango cha kawaida cha chembe nyekundu za damu (Hb) katika mwili wa binadamu ni kati ya gramu 12 mpaka 14 kwa kila milimita ya damu, zikiwa pungufu ya hapo mtu huyo anakuwa na tatizo la upungufu wa damu.

Tulitaja aina za upungufu wa damu kama vile Pernicious Anaemia na Aplastica Anaemia....

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Fahamu aina za barakoa zinazotoa ulinzi madhubuti dhidi ya maambukizi

Fahamu aina za barakoa zinazotoa ulinzi madhubuti dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaolala sana kushikwa na kiharusi

Watu wanaolala kwa zaidi ya masaa manane kwa siku wana uwezekano mkubwa wa kupata ugonjwa wa kiharusi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani