Ben Pol ayasema haya kuhusu 2Face na D’Banj, ni collabo?
Ben Pol amewataka wasanii wa Tanzania waige mfano wa wasanii nguli wa Nigeria, D’Banj na 2Face kwakuwa hawana utani katika uandaaji wa kazi zao za muziki. Ben Pol ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa wasanii hao wanajua wanachofanya kuanzia katika uandaaji wa kazi zao hadi jukwaani tofauti na baadhi ya wasanii wetu hapa nchini wanaokurupuka bila […]
Bongo5
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania