Exclusive: Haya ndio mambo ambayo Alikiba anahisi kufanyiwa ili asifanikiwe
Alikiba aliishut down Instagram Jumatatu hii kwa post iliyozua maswali mengi.
Wengi waliitafsiri post hiyo kama amelalamika kukosa tuzo za Afrima zilizotolewa Jumapili hii nchini Nigeria, licha ya kutajwa kwenye vipengele vinne.
Akiongea na kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM kufafanua kuhusu post hiyo ya Instagram iliyofutwa tayari, Kiba alisema aliamua kuandika hivyo kuwashukuru mashabiki wake kwa namna wanavyompigania na kuwahakikisha kuwa anajitahidi kwa nguvu zake zote kuwafurahisha...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo525 Nov
Haya ndio mambo ambayo Nameless wa Kenya hushindwa kufanya kutokana na kuwa maarufu
![Nameless nje](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nameless-nje-300x194.jpg)
Maisha ya umaarufu yana raha na karaha zake, na faida na hasara zake.
Katika vitu ambavyo watu maarufu kama wanamuziki na waigizaji huwa wanakosa ni uhuru wa kufanya mambo binafsi kama watu wa kawaida.
Nimetembelea ukurasa wa Instagram wa msanii wa Kenya, Nameless na kukutana na post yake akielezea jinsi alivyojisikia vizuri alipopata uhuru wa kufanya mambo ambayo huwa hawezi kuyafanya akiwa Kenya.
Nameless ambaye yuko Marekani kwenye show amepost picha hii na kuandika:
“The thing I love...
9 years ago
Bongo527 Aug
Haya ni mambo ambayo watu waliofanikiwa hawawezi kukuambia kazini
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016
Tayari tumemalizana na mwaka 2015 na sasa tupo katika mwaka 2016, kila mtu anapanga mipango yake katika huu mwaka kuhakikisha kila kitu chake kinatimia. Wakati watu wakiwa wanapanga mipango yao hiyo, katika soka haya ndio matukio 10 ambayo watu wa soka wanasubiri kuyaona yakitokea kwa mwaka 2016. 1- Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon […]
The post Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo506 Jan
Haya ni mambo matano aliyoyasema Alikiba kuhusu Davido, na mpango wa collabo yao
![Ali na dav](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Ali-na-dav-300x194.jpg)
Mwaka 2015 staa wa Nigeria, Davido alitangaza kuwa mashabiki wajiandae kupokea collabo yake na Alikiba, kitu kilichowafurahisha mashabiki wengi wa muziki hususan team Alikiba.
“I have a song coming out with Alikiba too, that’s gonna be crazy” alisema Davido alipohojiwa na Millard Ayo kwenye Red Carpet ya tuzo za MTV MAMA mwaka jana 2015.
Kwa bahati mbaya hadi sasa tukiwa tayari tumeingia kwenye mwaka mpya 2016 collabo hiyo bado haijafanyika wala hakuna dalili zozote za kurekodiwa...
9 years ago
Bongo517 Nov
Alikiba anahisi kafanyiwa mchezo mchafu kwenye tuzo za AFRIMA baada ya kukosa zote alizokuwa ametajwa
![12120276_163762000643678_1906855536_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12120276_163762000643678_1906855536_n1-300x194.jpg)
Alikiba anahisi kuna mchezo mchafu unafanyika kwenye tuzo anazotajwa kuwania.
Muimbaji huyo alikuwa ametajwa kuwania vipengele vinne kwenye tuzo za Afrima zilizotolewa Jumapili hii jijini Lagos, Nigeria.
Kiba alitajwa kuwania Best Male Artist East Africa, Artist of The Year, Song of the Year na Song Writer Of The Year In Africa. Tuzo tatu kati ya hizi zimechukuliwa na Diamond waliyekuwa wametajwa pamoja.
Kupitia post aliyoweka kwenye Instagram, Alikiba amedai kuwa anaamini ‘kuna watu’...
10 years ago
Vijimambo28 May
EXCLUSIVE: JOKATE ASUBIRIA MAAMUZI YA ALIKIBA
![](http://i0.wp.com/teamtz.com/wp-content/uploads/2015/05/JOKATE-ALIKIBA.jpg?resize=620%2C486)
She was miss Tanzania namba two 2006 Jokate Mwegelo ambaye ni maarufu kwa jina la Kidoti, we know kwamba Jokate anavipaji vingi coz yeye ni Presenter, Actress, Fashionist, pia ni muimbaji wa muziki wa Bongo fleva.
Hivyo wakati Jokate akizungumza Exclusive na mwandishi wetu, alifungua ukurasa wa maelezo haya.
ABOUT FASHION“Ilove Fashion coz nilitokea kwenye ulimbwende hapa nchini na Tasnia hii kiukweli bado haijafanyiwa vitu vingi,so kwangu mimi nifaraja kwa sababu Brand yangu ya Kidoti,...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Exclusive ya Ben Pol: ufafanuzi wa alichoandika kuhusu Alikiba
Mwimbaji staa wa bongofleva Ben Pol amezimiliki headlines za Tanzania kwa zaidi ya saa 20 zilizopita baada ya tweet aliyoiandika kwa mwimbaji Alikiba ambayo imeonekana kuwa na utata, utata uliopelekea na Alikiba kumjibu… kwenye video hapa chini Ben Pol ameeleza kila kitu tunachotakiwa kukifahamu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]
The post Exclusive ya Ben Pol: ufafanuzi wa alichoandika kuhusu Alikiba appeared first on TZA_MillardAyo.