Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EXCLUSIVE: JOKATE ASUBIRIA MAAMUZI YA ALIKIBA



She was miss Tanzania namba two 2006 Jokate Mwegelo ambaye ni maarufu kwa jina la Kidoti, we know kwamba Jokate anavipaji vingi coz yeye ni Presenter, Actress, Fashionist, pia ni muimbaji wa muziki wa Bongo fleva.
Hivyo wakati Jokate akizungumza Exclusive na mwandishi wetu, alifungua ukurasa wa maelezo haya.
ABOUT FASHION“Ilove Fashion coz nilitokea kwenye ulimbwende hapa nchini na Tasnia hii kiukweli bado haijafanyiwa vitu vingi,so kwangu mimi nifaraja kwa sababu Brand yangu ya Kidoti,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DKT. HUSSEN MWINYI AREJESHA FOMU, ASUBIRIA MAAMUZI YA CHAMA


NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo 24 Juni, amerejesha fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya  Chama Cha Mapinduzi CCM.

Dkt. Hussein Mwinyi aliwasili majira ya saa nane mchana kurejesha fomu hiyo ambapo ilikaguliwa na kisha kwenda kuirejesha kwa Katibu wa Idara ya Organization CCM, Cassian Galos.

Hata hivyo aliweza kuzungumza kwa kifupi pekee ambapo alisema:

"Kwa sasa hatua ya kwanza mchakato umemalizika  wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Tetesi: Jokate na Alikiba Wadaiwa Kuzama Penzini

Tetesi  za mastaa wa hapa Bongo, Jokate Mwegelo na Ally Kiba kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi zimezidi kupamba moto baada ya hapo jana mtangazaji wa Clouds FM Soudy Brown kumuoji Jokate juu ya ukweli wa tetesi hizo ambapo Jokate aliishia kucheka tu bila kutoa majibu.

Kwa mujibu wa Soudy kwa muda mrefu amekuwa akiwafuatilia wa wili hao kwani mara nyingi wamekuwa wakionana  wakiwa pamoja sehemu mbalimbali  kama kwenye restaurants na mara kadhaa nyumbani kwa Alikiba.

Sasa leo kwenye...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba akanusha tetesi za kumpa ujauzito Jokate

kiba2

Staa wa Bongo fleva, Alikiba amekanusha taarifa zilizoandikwa na moja ya magazeti ya udaku hivi karibuni, kuwa amempa ujauzito Jokate Mwegelo.

kiba2

Hivi ndivyo ilivyoandikwa:

“Wakati Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu akihaha kuhakikisha anaitwa mama, habari ‘exclusive’ iliyotua kwenye meza ya gazeti hili inadai kuwa, mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo amenasa ujauzito huku muhusika mkuu wa mzigo huo akidaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa, Ali Saleh Kiba ‘Ali...

 

9 years ago

MillardAyo

Exclusive ya Ben Pol: ufafanuzi wa alichoandika kuhusu Alikiba

Mwimbaji staa wa bongofleva Ben Pol amezimiliki headlines za Tanzania kwa zaidi ya saa 20 zilizopita baada ya tweet aliyoiandika kwa mwimbaji Alikiba ambayo imeonekana kuwa na utata, utata uliopelekea na Alikiba kumjibu… kwenye video hapa chini Ben Pol ameeleza kila kitu tunachotakiwa kukifahamu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]

The post Exclusive ya Ben Pol: ufafanuzi wa alichoandika kuhusu Alikiba appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo5

Alikiba na Jokate washuhudia mtanange wa Simba na Yanga pamoja

Alikiba na Jokate Mwegelo waligeuka kuwa kama kumbi kumbi weekend hii baada ya kuungana pamoja kushuhudia mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Alikiba na Jokate wakitoka katika uwanja wa Taifa Jokate ambaye anaonekana kuwa ni shabiki wa Yanga iliyoibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Jokate na Alikiba kunani? Wadaiwa kuonekana pamoja usiku mnene

Habari zilizoletwa mezani kwetu zinadai kuwa kuna “kitu” cha chini chini kinaendela kati ya msanii wa filamu na bongofleva nchini Jokate Mwegelo na mwana-bongofleva maarufu Ali Kiba baada ya wawili hao kunaswa wakiwa pamoja usiku wa manane katika ukumbi wa Dar live huko mbagala kwenye show ya Alikiba.

Wadakuzi w mambo wanadai bidada Jokate alionekana akiwa nyuma ya stage akifuatilia kwa umakini show hiyo ya Alikiba usiku wote. Na alipofuatwa kuulizwa kunani kati yao wawili alijibu kuwa yeye...

 

10 years ago

Bongo5

Video ya ‘Mwana’ ya Alikiba kutambulishwa ‘exclusive’ na vituo 4 vya nje ya Tanzania

Video ya Mwana ya Alikiba ambayo inatoka rasmi leo (Dec.16) itaanza kuonekana exclusive kwenye vituo vinne vya nje ya mipaka ya Tanzania kwa mara ya kwanza. Kwa mujibu wa promo ambayo Alikiba ameifanya kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii, vituo vitakavyoanza kuionesha video yake kwa mara ya kwanza ni 1 Music Networks na Sound […]

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Haya ndio mambo ambayo Alikiba anahisi kufanyiwa ili asifanikiwe

11351693_884493951620505_1998549226_n

Alikiba aliishut down Instagram Jumatatu hii kwa post iliyozua maswali mengi.

11351693_884493951620505_1998549226_n

Wengi waliitafsiri post hiyo kama amelalamika kukosa tuzo za Afrima zilizotolewa Jumapili hii nchini Nigeria, licha ya kutajwa kwenye vipengele vinne.

Akiongea na kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM kufafanua kuhusu post hiyo ya Instagram iliyofutwa tayari, Kiba alisema aliamua kuandika hivyo kuwashukuru mashabiki wake kwa namna wanavyompigania na kuwahakikisha kuwa anajitahidi kwa nguvu zake zote kuwafurahisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani