DKT. HUSSEN MWINYI AREJESHA FOMU, ASUBIRIA MAAMUZI YA CHAMA

NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo 24 Juni, amerejesha fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Dkt. Hussein Mwinyi aliwasili majira ya saa nane mchana kurejesha fomu hiyo ambapo ilikaguliwa na kisha kwenda kuirejesha kwa Katibu wa Idara ya Organization CCM, Cassian Galos.
Hata hivyo aliweza kuzungumza kwa kifupi pekee ambapo alisema:
"Kwa sasa hatua ya kwanza mchakato umemalizika wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 May
EXCLUSIVE: JOKATE ASUBIRIA MAAMUZI YA ALIKIBA

She was miss Tanzania namba two 2006 Jokate Mwegelo ambaye ni maarufu kwa jina la Kidoti, we know kwamba Jokate anavipaji vingi coz yeye ni Presenter, Actress, Fashionist, pia ni muimbaji wa muziki wa Bongo fleva.
Hivyo wakati Jokate akizungumza Exclusive na mwandishi wetu, alifungua ukurasa wa maelezo haya.
ABOUT FASHION“Ilove Fashion coz nilitokea kwenye ulimbwende hapa nchini na Tasnia hii kiukweli bado haijafanyiwa vitu vingi,so kwangu mimi nifaraja kwa sababu Brand yangu ya Kidoti,...
5 years ago
Michuzi
WAZIRI WA MAJI PROFESA MBARAWA AREJESHA FOMU YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ASHUKURU CHAMA CHAKE
Profesa Mbarawa alichukua fomu Juni 19, mwaka huu katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, akiwa mwanachama wa 10 kufanya hivyo.
Hivyi leo Juni 27,2020 amerejesha fomu hizo katika ofisi hiyo na kupokewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Zanzibar, Galous Nyimbo.
Wakati alipochukua fomu...
10 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
10 years ago
Habarileo27 Jun
Mwandosya arejesha fomu za urais
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya amerejesha fomu zake za kuwania kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya urais.
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AREJESHA FOMU
10 years ago
Habarileo05 Sep
Seif arejesha fomu ya urais Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amerudisha fomu ya kuwania nafasi hiyo kwa mara ya tano huku akisema imani yake kubwa kwamba uchaguzi mkuu utakuwa huru na haki utakaofuata misingi ya uadilifu.
10 years ago
Michuzi
DK.SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR


10 years ago
Habarileo26 Jun
Kada Chadema arejesha fomu kuwania Nkwela
KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Daniel Ngogo ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Nkwela.
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Wambura arejesha fomu kwa mbwembwe Simba
MGOMBEA urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura, jana alirejesha fomu kwa mbwembwe makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini Dar es Salaam, huku kundi la wachezaji wa zamani likijitokeza...