Jokate na Alikiba kunani? Wadaiwa kuonekana pamoja usiku mnene
Habari zilizoletwa mezani kwetu zinadai kuwa kuna “kitu” cha chini chini kinaendela kati ya msanii wa filamu na bongofleva nchini Jokate Mwegelo na mwana-bongofleva maarufu Ali Kiba baada ya wawili hao kunaswa wakiwa pamoja usiku wa manane katika ukumbi wa Dar live huko mbagala kwenye show ya Alikiba.
Wadakuzi w mambo wanadai bidada Jokate alionekana akiwa nyuma ya stage akifuatilia kwa umakini show hiyo ya Alikiba usiku wote. Na alipofuatwa kuulizwa kunani kati yao wawili alijibu kuwa yeye...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies09 May
Tetesi: Jokate na Alikiba Wadaiwa Kuzama Penzini
Tetesi za mastaa wa hapa Bongo, Jokate Mwegelo na Ally Kiba kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi zimezidi kupamba moto baada ya hapo jana mtangazaji wa Clouds FM Soudy Brown kumuoji Jokate juu ya ukweli wa tetesi hizo ambapo Jokate aliishia kucheka tu bila kutoa majibu.
Kwa mujibu wa Soudy kwa muda mrefu amekuwa akiwafuatilia wa wili hao kwani mara nyingi wamekuwa wakionana wakiwa pamoja sehemu mbalimbali kama kwenye restaurants na mara kadhaa nyumbani kwa Alikiba.
Sasa leo kwenye...
10 years ago
Bongo528 Sep
Alikiba na Jokate washuhudia mtanange wa Simba na Yanga pamoja
9 years ago
Bongo517 Dec
Kunani kati ya Ben Pol na Alikiba? Tweets hizi zazusha utata mkubwa!

Kuna tatizo kati ya Ben Pol na Alikiba?
Au Ben ameamua kutoa mtazamo wake wa moyoni juu ya hitmaker huyo wa Chekecha? Maswali ni mengi lakini ukweli ni kwamba tweet ya Ben kwa Kiba ina utata mkubwa.
“Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?” ameandika Ben Pol.
Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?
— Ben Pol (@IamBenPol) December 17, 2015
Well, neno ‘overrated’ ndio kiini cha ujumbe wa...
10 years ago
GPL
MTANGAZAJI ALIZWA GARI USIKU MNENE
10 years ago
Vijimambo28 May
EXCLUSIVE: JOKATE ASUBIRIA MAAMUZI YA ALIKIBA

She was miss Tanzania namba two 2006 Jokate Mwegelo ambaye ni maarufu kwa jina la Kidoti, we know kwamba Jokate anavipaji vingi coz yeye ni Presenter, Actress, Fashionist, pia ni muimbaji wa muziki wa Bongo fleva.
Hivyo wakati Jokate akizungumza Exclusive na mwandishi wetu, alifungua ukurasa wa maelezo haya.
ABOUT FASHION“Ilove Fashion coz nilitokea kwenye ulimbwende hapa nchini na Tasnia hii kiukweli bado haijafanyiwa vitu vingi,so kwangu mimi nifaraja kwa sababu Brand yangu ya Kidoti,...
9 years ago
Bongo525 Nov
Alikiba akanusha tetesi za kumpa ujauzito Jokate

Staa wa Bongo fleva, Alikiba amekanusha taarifa zilizoandikwa na moja ya magazeti ya udaku hivi karibuni, kuwa amempa ujauzito Jokate Mwegelo.
Hivi ndivyo ilivyoandikwa:
“Wakati Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu akihaha kuhakikisha anaitwa mama, habari ‘exclusive’ iliyotua kwenye meza ya gazeti hili inadai kuwa, mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo amenasa ujauzito huku muhusika mkuu wa mzigo huo akidaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa, Ali Saleh Kiba ‘Ali...
10 years ago
Habarileo09 Aug
`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m
MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.
10 years ago
GPL
AIBU FUNGA MWAKA! MREMBO WA BONGO MOVIE ANASWA USIKU MNENE