Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jokate na Alikiba kunani? Wadaiwa kuonekana pamoja usiku mnene

Habari zilizoletwa mezani kwetu zinadai kuwa kuna “kitu” cha chini chini kinaendela kati ya msanii wa filamu na bongofleva nchini Jokate Mwegelo na mwana-bongofleva maarufu Ali Kiba baada ya wawili hao kunaswa wakiwa pamoja usiku wa manane katika ukumbi wa Dar live huko mbagala kwenye show ya Alikiba.

Wadakuzi w mambo wanadai bidada Jokate alionekana akiwa nyuma ya stage akifuatilia kwa umakini show hiyo ya Alikiba usiku wote. Na alipofuatwa kuulizwa kunani kati yao wawili alijibu kuwa yeye...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Tetesi: Jokate na Alikiba Wadaiwa Kuzama Penzini

Tetesi  za mastaa wa hapa Bongo, Jokate Mwegelo na Ally Kiba kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi zimezidi kupamba moto baada ya hapo jana mtangazaji wa Clouds FM Soudy Brown kumuoji Jokate juu ya ukweli wa tetesi hizo ambapo Jokate aliishia kucheka tu bila kutoa majibu.

Kwa mujibu wa Soudy kwa muda mrefu amekuwa akiwafuatilia wa wili hao kwani mara nyingi wamekuwa wakionana  wakiwa pamoja sehemu mbalimbali  kama kwenye restaurants na mara kadhaa nyumbani kwa Alikiba.

Sasa leo kwenye...

 

10 years ago

Bongo5

Alikiba na Jokate washuhudia mtanange wa Simba na Yanga pamoja

Alikiba na Jokate Mwegelo waligeuka kuwa kama kumbi kumbi weekend hii baada ya kuungana pamoja kushuhudia mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Alikiba na Jokate wakitoka katika uwanja wa Taifa Jokate ambaye anaonekana kuwa ni shabiki wa Yanga iliyoibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi […]

 

9 years ago

Bongo5

Kunani kati ya Ben Pol na Alikiba? Tweets hizi zazusha utata mkubwa!

Kiba

Kuna tatizo kati ya Ben Pol na Alikiba?

Kiba

Au Ben ameamua kutoa mtazamo wake wa moyoni juu ya hitmaker huyo wa Chekecha? Maswali ni mengi lakini ukweli ni kwamba tweet ya Ben kwa Kiba ina utata mkubwa.

“Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?” ameandika Ben Pol.

Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?

— Ben Pol (@IamBenPol) December 17, 2015

Well, neno ‘overrated’ ndio kiini cha ujumbe wa...

 

10 years ago

GPL

MTANGAZAJI ALIZWA GARI USIKU MNENE

MTANGAZAJI wa zamani wa Redio Clouds FM ambaye sasa ni ripota wa Redio Deutsche Welle ya Ujerumani, George Njogopa ameporwa gari usiku wa kuamkia Jumatatu iliyopita maeneo ya Maryland Bar, Mwenge jijini Dar. Mtangazaji wa zamani wa Redio Clouds FM ambaye sasa ni ripota wa Redio Deutsche Welle ya Ujerumani, George Njogopa akiwa Rais Jakaya Kikwete. Kwa mujibu wa chanzo, mtangazaji huyo alikuwa na mwanamke ambaye anadaiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

EXCLUSIVE: JOKATE ASUBIRIA MAAMUZI YA ALIKIBA



She was miss Tanzania namba two 2006 Jokate Mwegelo ambaye ni maarufu kwa jina la Kidoti, we know kwamba Jokate anavipaji vingi coz yeye ni Presenter, Actress, Fashionist, pia ni muimbaji wa muziki wa Bongo fleva.
Hivyo wakati Jokate akizungumza Exclusive na mwandishi wetu, alifungua ukurasa wa maelezo haya.
ABOUT FASHION“Ilove Fashion coz nilitokea kwenye ulimbwende hapa nchini na Tasnia hii kiukweli bado haijafanyiwa vitu vingi,so kwangu mimi nifaraja kwa sababu Brand yangu ya Kidoti,...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba akanusha tetesi za kumpa ujauzito Jokate

kiba2

Staa wa Bongo fleva, Alikiba amekanusha taarifa zilizoandikwa na moja ya magazeti ya udaku hivi karibuni, kuwa amempa ujauzito Jokate Mwegelo.

kiba2

Hivi ndivyo ilivyoandikwa:

“Wakati Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu akihaha kuhakikisha anaitwa mama, habari ‘exclusive’ iliyotua kwenye meza ya gazeti hili inadai kuwa, mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo amenasa ujauzito huku muhusika mkuu wa mzigo huo akidaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa, Ali Saleh Kiba ‘Ali...

 

10 years ago

Habarileo

`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m

MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.

 

10 years ago

GPL

AIBU FUNGA MWAKA! MREMBO WA BONGO MOVIE ANASWA USIKU MNENE

Na Musa Mateja HII kweli ni aibu funga mwaka! Msanii wa Bongo Movies, Stani Bakora amenaswa na paparazi wetu akivunja amri ya sita ndani ya gari na dada mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja, Amani linakupa mchapo kamili. Msanii wa Bongo Movies, Stani Bakora na binti huyo wakiwa kwenye mahaba mazito. Tukio hilo la kinyaa lilitokea hivi karibuni maeneo ya Masaki jijini Dar es Salaam, karibu kabisa na maegesho ya magari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani