Exclusive ya Ben Pol: ufafanuzi wa alichoandika kuhusu Alikiba
Mwimbaji staa wa bongofleva Ben Pol amezimiliki headlines za Tanzania kwa zaidi ya saa 20 zilizopita baada ya tweet aliyoiandika kwa mwimbaji Alikiba ambayo imeonekana kuwa na utata, utata uliopelekea na Alikiba kumjibu… kwenye video hapa chini Ben Pol ameeleza kila kitu tunachotakiwa kukifahamu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]
The post Exclusive ya Ben Pol: ufafanuzi wa alichoandika kuhusu Alikiba appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Dec
Exclusive: Ben Pol aeleza kwanini alimuandikia Alikiba tweet iliyozua utata mkubwa!
![Kiba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kiba-300x194.jpg)
Ben Pol amesema tweet ya utata aliyomuandikia Alikiba, alikusudia kumtumia kwenye ujumbe wa siri wa mtandao wa Twitter (DM) lakini akakosea na kuiweka wazi!
Juzi kupitia mtandao huo, Ben Pol alimuuliza Alikiba swali, “Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?”
Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa wasanii wamekuwa wakiambiana ukweli kuhusu muziki na maisha yao ili kuwekana sawa.
“Ile tweet kwanza nilikuwa nataka iende DM,” alisema.
“Unajua sisi...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Exclusive Interview na Alikiba kabla ya show yake Escape One kesho Dec 26, mafanikio ya 2015, Ben Pol na mengine
Wakati inasubiriwa show ya Alikiba Escape One Mikocheni Dar es salaam kwenye boxing day December 26, kuna hii Interview ya Alikiba akihojiwa na Millard Ayo na kuzungumzia sehemu ya mafanikio yake 2015, alichoandikiwa na Ben Pol na mengine. Kabla hujaitazama hii Interview hapa chini, inabidi ujue pia kwenye hii show ya boxing day Escape One, Alikiba atafanya […]
The post Exclusive Interview na Alikiba kabla ya show yake Escape One kesho Dec 26, mafanikio ya 2015, Ben Pol na mengine appeared...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Alikiba amejibu haya kuhusu post ya Ben Pol aliyomwandika… (#UHeard)
Hakuna maelewano mazuri kati ya Ben Pol na Alikiba? Kama ulipitia mitandaoni au ulisikia ishu ya Tweet ya Ben Pol aliyomzungumzia Alikiba na kila mtu alitafsiri kivyake. Soudy Brown akaona amcheki Alikiba ambaye amesema yeye amechukulia poa post ya Ben Pol kwa sababu yeye ni muungwana na anamtanguliza MUNGU mbele… hana ubaya wowote na Ben […]
The post Alikiba amejibu haya kuhusu post ya Ben Pol aliyomwandika… (#UHeard) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo524 Dec
Ben Pol ampigia magoti Alikiba, wayamaliza, huenda wakafanya collabo
![Kiba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kiba-1-300x194.jpg)
Wagombanao ndio wapatanao. Baada ya wiki nzima ya kuoga matusi kutoka kwa mashabiki wa Alikiba kutokana na kauli yake ya utata kwenye Twitter, Ben Pol amekiri kuwa aliteleza na kumuomba radhi muimbaji huyo wa Nagharamia.
Akiongea kwa simu kupitia kipindi cha Jahazi cha Clouds FM Alhamis hii ambako Kiba alikuwepo studio, Ben Pol alisema yeye ni shabiki mkubwa wa Kiba na anamchukulia kama kaka yake na amekiri kuwa tweet ile haikuwa sawa.
“Mimi shabiki wa Kiba, moyoni mwangu nina furaha kubwa...
9 years ago
Bongo517 Dec
Kunani kati ya Ben Pol na Alikiba? Tweets hizi zazusha utata mkubwa!
![Kiba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kiba-300x194.jpg)
Kuna tatizo kati ya Ben Pol na Alikiba?
Au Ben ameamua kutoa mtazamo wake wa moyoni juu ya hitmaker huyo wa Chekecha? Maswali ni mengi lakini ukweli ni kwamba tweet ya Ben kwa Kiba ina utata mkubwa.
“Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?” ameandika Ben Pol.
Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?
— Ben Pol (@IamBenPol) December 17, 2015
Well, neno ‘overrated’ ndio kiini cha ujumbe wa...
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio)
Jana December 23 2015 gossic cop wa show ya XXL #CloudsFM, Soudy Brown alifanikiwa kumpata Alikiba… maswali ya Soudy kwa Alikiba ilikuwa jinsi alivyopokea maneno ya Ben Pol kwenye post ya Twitter ambayo alimtaja !! Alikiba alisema hana neno na wala hana tatizo na Ben Pol, kwa hiyo hata kilichoandikwa na Ben Pol alikichukulia poa […]
The post Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo510 Sep
Ben Pol ayasema haya kuhusu 2Face na D’Banj, ni collabo?
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Ben Pol aanza mwaka na Ben Pol
Ben Pol.
Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Fleva, Benard Paul (Ben Pol) amefunguka kwa kusema kuwa anauanza mwaka wa 2016 kwa kutoa albamu yake iliyobeba nyimbo 13, mwanzoni mwa mwezi wa pili.
Akizungumza na Championi Jumatano, Pol amesema kuwa wasanii wengi wamekuwa wakiuchukulia muziki huo ni wa kawaida tu kwa kuhitaji kujiingizia kipato na siyo kuwa ‘serious’ na matokeo yake wanaishia kutoa nyimbo moja au mbili ili kupata shoo.
“Nimejipanga kuweka...