Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Exclusive Interview na Alikiba kabla ya show yake Escape One kesho Dec 26, mafanikio ya 2015, Ben Pol na mengine

Wakati inasubiriwa show ya Alikiba Escape One Mikocheni Dar es salaam kwenye boxing day December 26, kuna hii Interview ya Alikiba akihojiwa na Millard Ayo na kuzungumzia sehemu ya mafanikio yake 2015, alichoandikiwa na Ben Pol na mengine. Kabla hujaitazama hii Interview hapa chini, inabidi ujue pia kwenye hii show ya boxing day Escape One, Alikiba atafanya […]

The post Exclusive Interview na Alikiba kabla ya show yake Escape One kesho Dec 26, mafanikio ya 2015, Ben Pol na mengine appeared...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Exclusive ya Ben Pol: ufafanuzi wa alichoandika kuhusu Alikiba

Mwimbaji staa wa bongofleva Ben Pol amezimiliki headlines za Tanzania kwa zaidi ya saa 20 zilizopita baada ya tweet aliyoiandika kwa mwimbaji Alikiba ambayo imeonekana kuwa na utata, utata uliopelekea na Alikiba kumjibu… kwenye video hapa chini Ben Pol ameeleza kila kitu tunachotakiwa kukifahamu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]

The post Exclusive ya Ben Pol: ufafanuzi wa alichoandika kuhusu Alikiba appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Ben Pol aeleza kwanini alimuandikia Alikiba tweet iliyozua utata mkubwa!

Kiba

Ben Pol amesema tweet ya utata aliyomuandikia Alikiba, alikusudia kumtumia kwenye ujumbe wa siri wa mtandao wa Twitter (DM) lakini akakosea na kuiweka wazi!

Kiba

Juzi kupitia mtandao huo, Ben Pol alimuuliza Alikiba swali, “Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?”

Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa wasanii wamekuwa wakiambiana ukweli kuhusu muziki na maisha yao ili kuwekana sawa.

“Ile tweet kwanza nilikuwa nataka iende DM,” alisema.
“Unajua sisi...

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol asimulia ‘aibu’ aliyoipata kwenye show yake ya kwanza kutumbuiza!

Kila msanii unayemfahamu ana show moja ama mbili alizowahi kuzifanya lakini zikawa mbaya kiasi ambacho hawezi kuisahau. Akiongea kwenye kipindi cha Kili Chat kinachorushwa kila Alhamis kupitia EATV, Ben Pol alisema show yake mbaya zaidi kuifanya ni ile ya kwanza kabisa kuwahi kufanya wakati huo akiwa na wimbo uliomtambulisha, ‘Nikikupata’. “Nafikiri pia sababu ya ugeni […]

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol ampigia magoti Alikiba, wayamaliza, huenda wakafanya collabo

Kiba

Wagombanao ndio wapatanao. Baada ya wiki nzima ya kuoga matusi kutoka kwa mashabiki wa Alikiba kutokana na kauli yake ya utata kwenye Twitter, Ben Pol amekiri kuwa aliteleza na kumuomba radhi muimbaji huyo wa Nagharamia.

Kiba

Akiongea kwa simu kupitia kipindi cha Jahazi cha Clouds FM Alhamis hii ambako Kiba alikuwepo studio, Ben Pol alisema yeye ni shabiki mkubwa wa Kiba na anamchukulia kama kaka yake na amekiri kuwa tweet ile haikuwa sawa.

“Mimi shabiki wa Kiba, moyoni mwangu nina furaha kubwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Alikiba amejibu haya kuhusu post ya Ben Pol aliyomwandika… (#UHeard)

Hakuna maelewano mazuri kati ya Ben Pol na Alikiba? Kama ulipitia mitandaoni au ulisikia ishu ya Tweet ya Ben Pol aliyomzungumzia Alikiba na kila mtu alitafsiri kivyake. Soudy Brown akaona amcheki Alikiba ambaye amesema yeye amechukulia poa post ya Ben Pol kwa sababu yeye ni muungwana na anamtanguliza MUNGU mbele… hana ubaya wowote na Ben […]

The post Alikiba amejibu haya kuhusu post ya Ben Pol aliyomwandika… (#UHeard) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Video Mpya ya Ben Pol ‘Ningefanyaje’ kutambulishwa kwa mara ya kwanza SoundCity Tv Nigeria Dec.12

ben soundcity

Ben Pol amezianza rasmi mbio za kuelekea safari yake ya kimataifa, kwanza kwa kufanikiwa kushoot video yake ya kwanza na director wa nje, Justin Campos wa Afrika Kusini, na sasa video hiyo imepewa baraka za kutambulishwa na kituo kikubwa cha runinga cha Nigeria, SoundCity TV.

ben soundcity

Video ya ‘Ningefanyaje’ aliyomshirikisha muimbaji mrembo wa Kenya, Avril pamoja na Rossie M itatambulishwa kwa mara ya kwanza Jumamosi Dec.12 kwenye kipindi cha Top 10 East saa tano asubuhi saa za Afrika...

 

9 years ago

Bongo5

Kunani kati ya Ben Pol na Alikiba? Tweets hizi zazusha utata mkubwa!

Kiba

Kuna tatizo kati ya Ben Pol na Alikiba?

Kiba

Au Ben ameamua kutoa mtazamo wake wa moyoni juu ya hitmaker huyo wa Chekecha? Maswali ni mengi lakini ukweli ni kwamba tweet ya Ben kwa Kiba ina utata mkubwa.

“Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?” ameandika Ben Pol.

Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?

— Ben Pol (@IamBenPol) December 17, 2015

Well, neno ‘overrated’ ndio kiini cha ujumbe wa...

 

9 years ago

Bongo5

Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…

Ben SA-1

Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.

Ben SA-1

Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.

Ben pol na Patoranking2
Ben Pol na Patoranking

Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani