Alikiba anahisi kafanyiwa mchezo mchafu kwenye tuzo za AFRIMA baada ya kukosa zote alizokuwa ametajwa
Alikiba anahisi kuna mchezo mchafu unafanyika kwenye tuzo anazotajwa kuwania.
Muimbaji huyo alikuwa ametajwa kuwania vipengele vinne kwenye tuzo za Afrima zilizotolewa Jumapili hii jijini Lagos, Nigeria.
Kiba alitajwa kuwania Best Male Artist East Africa, Artist of The Year, Song of the Year na Song Writer Of The Year In Africa. Tuzo tatu kati ya hizi zimechukuliwa na Diamond waliyekuwa wametajwa pamoja.
Kupitia post aliyoweka kwenye Instagram, Alikiba amedai kuwa anaamini ‘kuna watu’...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo529 Sep
Peter Msechu aelezea furaha aliyoipata baada ya kutajwa kuwania tuzo (AFRIMA) kwa mara ya kwanza, ‘leo siogi’…!
9 years ago
Bongo518 Nov
Exclusive: Haya ndio mambo ambayo Alikiba anahisi kufanyiwa ili asifanikiwe
![11351693_884493951620505_1998549226_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11351693_884493951620505_1998549226_n-300x194.jpg)
Alikiba aliishut down Instagram Jumatatu hii kwa post iliyozua maswali mengi.
Wengi waliitafsiri post hiyo kama amelalamika kukosa tuzo za Afrima zilizotolewa Jumapili hii nchini Nigeria, licha ya kutajwa kwenye vipengele vinne.
Akiongea na kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM kufafanua kuhusu post hiyo ya Instagram iliyofutwa tayari, Kiba alisema aliamua kuandika hivyo kuwashukuru mashabiki wake kwa namna wanavyompigania na kuwahakikisha kuwa anajitahidi kwa nguvu zake zote kuwafurahisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKXDxkmTa69*Ehkd*Im*Id-MlqAnYJktTciyRb*KL4GTgALxLQG9HSQrtTN-hUUD9igKWziZvm1hAsGP2Ukifybg/5.jpg)
BDF yafanya mchezo mchafu
10 years ago
Mwananchi30 Dec
DC abaini mchezo mchafu wa wauguzi
11 years ago
Mwananchi30 Apr
TFF, Yanga katika mchezo mchafu
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
TBC iache mchezo huu mchafu
KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine. Watu wengi waliipongeza...
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Mchezo mchafu kesi za dawa za kulevya
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KESI 18 za dawa za kulevya zilizokuwa zikisikilizwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam zinafutwa kwa sababu zilisajiliwa kimakosa katika katika mahakama hiyo na washtakiwa wanapandishwa upya kizimbani.
Hayo yalibainika jana baada ya kesi nne kufutwa na kufanya idadi ya kesi hizo kufikia nane baada ya nne nyingine kufutwa juzi, ambapo washtakiwa walisomewa upya mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Kesi zote...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
CHADEMA Kilosa wabaini mchezo mchafu
UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Kilosa mkoani Morogoro umeanza kazi kwa kunasa makada wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Magomeni wilayani hapa...