DC abaini mchezo mchafu wa wauguzi
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, Ahmed Kipozi amesema atawachukulia hatua baadhi ya wahudumu wa Hospitali ya Bagamoyo wanaolalamikiwa na wagonjwa kuwa huwalazimisha kwenda kununua dawa nje wakati zinapatikana hospitalini hapo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKXDxkmTa69*Ehkd*Im*Id-MlqAnYJktTciyRb*KL4GTgALxLQG9HSQrtTN-hUUD9igKWziZvm1hAsGP2Ukifybg/5.jpg)
BDF yafanya mchezo mchafu
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Wabunge EALA wafichua mchezo mchafu
WABUNGE saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, wamejiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa madarakani Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, baada ya kubaini kulikuwa na mchezo mchafu nyuma...
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
CHADEMA Mbeya yalia mchezo mchafu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya mjini, kimefichua siri ya mbinu na mikakati michafu ya kisiasa inayoratibiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kuhakikisha idadi kubwa ya...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
TFF, Yanga katika mchezo mchafu
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
TBC iache mchezo huu mchafu
KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine. Watu wengi waliipongeza...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
CHADEMA Kilosa wabaini mchezo mchafu
UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Kilosa mkoani Morogoro umeanza kazi kwa kunasa makada wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Magomeni wilayani hapa...
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Mchezo mchafu kesi za dawa za kulevya
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KESI 18 za dawa za kulevya zilizokuwa zikisikilizwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam zinafutwa kwa sababu zilisajiliwa kimakosa katika katika mahakama hiyo na washtakiwa wanapandishwa upya kizimbani.
Hayo yalibainika jana baada ya kesi nne kufutwa na kufanya idadi ya kesi hizo kufikia nane baada ya nne nyingine kufutwa juzi, ambapo washtakiwa walisomewa upya mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Kesi zote...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ELWl1INNUx8/T3n2QIXbZ8I/AAAAAAAAACw/BsvCuYNTODg/s72-c/396300_216970381724652_100002350745009_483378_1721045790_n.jpg)
Chadema yaituhumu CCM kwa Mchezo Mchafu!
![](http://3.bp.blogspot.com/-ELWl1INNUx8/T3n2QIXbZ8I/AAAAAAAAACw/BsvCuYNTODg/s640/396300_216970381724652_100002350745009_483378_1721045790_n.jpg)
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Nzega, Shekhe Omari Omari, amekituhumu Chama cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi wake Kisiasa wilayani Bukene, akidai wamebaini njama za kuwabambikizia Kesi wanachama wa Chadema ili kuwatisha.
Akizungumza na Tanzania Daima Shekhe Omari ambaye pia ni Shekhe wa Wilaya ya Bukene na Diwani wa Kata Bukene (Chadema) alisema, kutokana na CCM kuanza kuweweseka na Ushindi wa Chadema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,...
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Kingunge anusa mchezo mchafu urais ndani ya CCM