Wizkid aizungumzia beef yake na Davido, asema hana beef na mtu (video)
Hivi karibuni Davido alihojiwa na kituo cha Sahara TV (Iko hapa) na kusema kuwa hana beef na Wizkid, lakini baada ya hapo waliendelea kurushiana vijembe kupitia mitandao ya kijamii. Hatimaye Wizkid naye amefanya mahojiano na mtangazaji aitwaye Olisa Adibua kupitia kipindi chake cha TV ambaye alimuuliza kuhusu beef hiyo. Kuhusu beef anzia dakika 9:20 “That […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jwk6iuDDPE8/default.jpg)
11 years ago
Bongo531 Jul
Iyanya awashauri Davido na Wizkid, ni kuhusu beef yao!
10 years ago
Bongo518 Dec
Diamond: Sina beef na Davido, watu walinielewa vibaya tu!
9 years ago
Bongo517 Nov
Cassper Nyovest aapa kutozungumzia tena beef yake na AKA, ‘It’s over for me’
![Cassper-Nyovest4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Cassper-Nyovest4-300x194.jpg)
Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest ameapa kutozungumzia tena beef yake na rapper AKA kwasababu ameamua kuachana nayo moja kwa moja ili aendelee na mambo mengine.
Akihojiwa kwenye kipindi cha MTV Base ‘Behind The Story’, Cassper ambaye ameshinda tuzo mbili za AFRIMA weekend iliyopita Lagos, Nigeria, alipohojiwa kuhusu beef yake na AKA alisema hataki kuzungumzia tena swala hilo, ameamua kuendelea mbele.
“I don’t wanna talk about it anymore. It’s not gonna end, man. This is one of the...
9 years ago
Bongo510 Oct
Taylor Swift aelezea fundisho alilopata kutokana na beef yake na Nicki Minaj
9 years ago
Bongo502 Jan
The Headies: Don Jazzy na Olamide ndani ya beef kali (Video)
![Don Jazzy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Don-Jazzy-300x194.jpg)
Don Jazzy na Olamide wametengeneza headlines kwenye tuzo za Headies 2015 nchini Nigeria.
Drama ilianza baada ya Reekado Banks, aliye chini ya Mavin Records ya Don Jazzy kumshinda msanii aliye lebo moja na Olamide, Lil Kesh na kushinda tuzo ya ‘The Next Rated Award.’
Alipopanda jukwaani Olamide aliamua kufunguka ya moyoni akiwa na crew nzima YBNL baada ya msanii wake Adekunle Gold kushinda tuzo ya Best Alternative.
“This award belongs to Lil Kesh. Lil Kesh is our own Next Rated artist. F**k...
11 years ago
Bongo523 Jul
Alikiba aweka wazi chanzo cha beef kati yake na Diamond, akiri yeye ni shabiki wa nyimbo za Platnumz lakini….!
10 years ago
Bongo526 Aug
Hakuna beef: Iggy Azalea ampongeza Nicki Minaj backstage MTV-VMA (video)