Shetta: Sina tatizo na Hemedy, itakuwa alinielewa vibaya
Msanii wa muziki Shetta amesema hana tatizo lolote na Hemedy PHD, huku akidai kuwa huenda kauli yake aliyosema kwa sasa hatafanya collabo na wasanii wa ndani tena ilinukuliwa vibaya na huenda ndo imemsababishia matatizo hayo. Hemedy PHD hivi karibuni baada ya kusikia kauli ya msanii huyo alitweet kuonyesha hakupendezwa na kauli hiyo. MTU ANASEMA HATEGEMEI […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qlVZiDayE6lY4xUsmqS4YkFZgXqpTg1BGYxKAFKejVpX2zPJ5S0YDZAeXN0TsmjWiH5jtu*G7vjaDAr-sLWqWC/kinana.jpg?width=650)
SINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM
10 years ago
Bongo518 Dec
Diamond: Sina beef na Davido, watu walinielewa vibaya tu!
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Tatizo la mapigo ya moyo kwenda vibaya
9 years ago
Habarileo23 Aug
Sumaye: Sina tatizo na Magufuli
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye hatimaye ametangaza rasmi kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kujiunga na Umoja wa vyama vya Upinzani vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba (UKAWA), huku akisema kwamba hana tatizo na mgombea Urais wa CCM Dk John Magufuli.
9 years ago
Bongo518 Dec
Country Boy: Sina tatizo na Young Dee
![Mtu Chee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Mtu-Chee-300x194.jpg)
Rapa wa kundi la Mtu Chee, Country Boy amesema hana tatizo na Young Dee licha ya kupishana lugha miezi michache iliyopita baada ya rapa huyo kujitoa katika kundi hilo.
<img src="http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Mtu-Chee.jpg" alt="Mtu Chee" width="640" height="640" class="alignnone size-full wp-image-129808" /0
Country Boy anasema hajawahi kuoongea na Young Dee toka atangaze kuachana na Mtu Chee.
“Sina tatizo na Young Dee, yeye alichagua kufanya kile anachokitaka na sisi...
10 years ago
Bongo Movies12 May
Aunt Ezekiel: Sitaki na Sina Tatizo na Mtu
Kutoka Mitandaoni: Staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel ameamua kuvunya ukimya fufuatia comment mablimbali za mashabiki juu ya kile kinacho daiwa kuwa urafiki wake na staa mwenzake Wema Sepetu umeyumba.
Madai ya kuyumba kwa ufafiki baina ya mastaa hao yameibuka kwa kasi baada ya hivi juzi kati kufanyika kwa baby shower ya Aunt na Wema kutokuwepo kwenye pati hiyo, kitu ambacho mashabiki na wapenzi wa mastaa hao wamekuwa wakihoji ina wezekana vipi Wema kukosa kwenye pati hiyo.
Kifuatia...
9 years ago
Bongo504 Nov
No Stress: Nipo vizuri sina tatizo la uzazi — asema Linah na kukanusha kuwa sio mjamzito
![Linah](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Linah-300x194.jpg)
Linah Sanga amekanusha uvumi kuwa ana ujauzito na kuweka taarifa sawa kuhusu afya yake ya uzazi.
Mwimbaji huyo wa ‘No Stress’ amesema kuwa kwasasa anajipanga ndio maana hajaamua kupata mtoto lakini hiyo haimaanishi kuwa ana matatizo yoyote ya uzazi kama baadhi ya watu wanavyohisi.
“Mimi nipo vizuri bhanaa sina tatizo la uzazi ila huwa najipanga ndio maana watu hawajahi kuniona nina ujauzito, lakini kwa sasa najiachia sanaa hivyo muda wowote wanaweza kusikia jambo,” alisema Linah kupitia...
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya
UTEUZI wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)