SHUKURANI SANA KWA WOTE WALIONITAKIA KHERI YA SIKU YA KUZALIWA
Dj Luke Joe
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa timu nzima ya Vijimambo na wale wote waliotumia muda wao kuniandikia maneno ya kunitakia kheri ya siku ya kuzaliwa, kwenye Vijimambo, facebook na wale wote walionitumia ujumbe mfupi kwenye SMS, Whatsup na kupiga simu. bila kuwasahau familia yangu.
Nimeguswa sana na upendo wenu napenda kuchua nafasi hii kutoa shukurani zangu za dhati kwa yote maneno mazuri yaliyoonyesha upendo wenu juu yangu nashukuru sana na mwenyezi Mungu awazidishie Asnte.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo10 Oct
KHERI YA SIKU YA KUZALIWA
![](http://gushit.com/files/bookmark_photos/0d296d3297L.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ycHH2_mXDgI/VeRvTnZAJtI/AAAAAAAADU8/HrQlnMkpNXM/s72-c/FB_IMG_1441031782827.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-55So738ZhKw/VIJrNnw06kI/AAAAAAAA-eU/rHZkdXVOkFc/s72-c/1010706_703581833016424_3678718462065793720_n.jpg)
KHERI YA KUZALIWA KWA MWANA LIBENEKE GEOFREY WA PAMOJA BLOG
![](http://4.bp.blogspot.com/-55So738ZhKw/VIJrNnw06kI/AAAAAAAA-eU/rHZkdXVOkFc/s1600/1010706_703581833016424_3678718462065793720_n.jpg)
Kwanza kabisa natoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunifikisha leo tarehe 06 mwezi wa 12 maana ndio kumbukumbu yangu ya kuingia duniani.Namshukuru mama yangu mzazi aliyanizaa na kunilea mpaka hapa nilipo ni kwa uwezo wake nampenda sana mama yangu.
Nawashuku sana ndugu zangu wote kwa support wanazonipa ili nifikie malengo niliyojiweke na Pia sina budi kuwashukuru Mablogger wanaonipa support ya nguvu maana...
10 years ago
Dewji Blog03 May
Leo Mei 3 ni siku ya kuzaliwa mdau Mh.Shy rose Bhanji, hongera sana
Mh. Shy rose Bhanji ambaye leo Mei 3, ametimiza miaka kadhaa. Happy Birthday Shy rose.
Na Andrew Chale, Modewji blog
Leo ni siku muhimu kwa mdau mkubwa wa Mo blog, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy Rose Bhanji ambaye ametimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2015.
Mtandao huu wa Modewji blog unamtakia kila lakheri katika haarakaati zake mbalimbali za ujenzi wa Taifa na Dunia kwa ujumla. Hongera sana ‘Happy Birthday’ ‘Happy Birthday Shy rose.
My birthday wish...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lBdS_qofV-0/VeGshhekp3I/AAAAAAAH0yE/danbgkSIDCI/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.png)
9 years ago
VijimamboVIJIMAMBO NA ASYA IDAROUS KHAMSINI IWATOA SHUKURANI SANA KWA MANANC
Watanzania wa North Carolina wakipata picha ya kumbukumbu kwenye khanga party iliyofanyika siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 mji wa Durham, North C
10 years ago
MichuziNEW YORK CITY YAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE KWENYE PARTY YA NGUVU YA MIAKA 38 TANGU KUZALIWA KWA CCM -JUMAMOSI FEB 21
TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR...
10 years ago
VijimamboNEW YORK CITY YAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE KWENYE PARTY YA NGUVU YA MIAKA 38 TANGU KUZALIWA KWA CCM -JUMAMOSI FEB 21 !
Tuungane Tuiline Tanzania Yetu
![](https://lh5.googleusercontent.com/-Gb4rdsn6HBY/UWMbnZzMGQI/AAAAAAAADi0/RQdKuX85gOY/w2048-h1536/Richi%2BRich%2BPalace.jpg)
...
10 years ago
Vijimambo10 Nov
Tangazo la Misa - Shukurani (Thanksgiving), Marehamu Wote na Uhuru wa Tanzania, Novemba 30 2014, 2:00 PM
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahilikwa nia ya Kutoa Shukurani (Thanksgiving), Kuwaombea Marehemu Wote na Kusheherekea Uhuru wa Tanzania na Kenya
Ibada itafanyika katika kanisa takatifu katoliki la
Mtakatifu Edward (St Edward Parish)901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, Phone: (410) 362-2000
Tarehe 30 Novemba 2014. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa...