LIBENEKE LA MDAU FRANCIS GODWIN BLOG LAREJEA HEWANI BAADA YA KUPATWA NA KWIKWII
Uongozi wa mtandao wa www.francisgodwin.blogspot.com unapenda kuwaomba radhi wadau wake kutokana na usumbufu mkubwa uliojitokeza kwa kipindi cha zaidi ya wiki moja sasa kwa mtandao huo kutokuwepo hewani ,ila tunapenda kuwataarifa kuwa kuanzia leo mtandao huo wa francisgodwinblog upo hewani hivyo endelea kupata habari na matukio mbali mbali kama ilivyokuwa awali kwa kutembelea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 45
![modewjiblog logo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/modewjiblog-logo.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Aug
MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 4*
![modewjiblog logo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/modewjiblog-logo.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Blog mpya ya siasa iko hewani
KWA MATUKIO MBALIMBALI YANAYOHUSU MASUALA YA SIASA ZIKIWEMO HABARI MAKALA FUPIFUPI, VITUKO, KUJIFAGILIA NA UWAJIBIKAJI WA WANASIASA KWA JAMII TEMBELEA www.politikstz.blogspot.com ILI UPATE KUJUA, KUELIMIKA NA KUBURUDIKA. PIA UNAWEZA KUTUTUMIA HABARI, MATUKIO YA PICHA NA MAKALA FUPIFUPI LAKINI ZISIWE HABARI ZA KUCHAFUA HALI YA HEWA AMA KUMCHAFUA MTU TUTUMIE KWA EMAIL HII .politikstz@gmail.comTUTASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU.
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
11 years ago
Michuzi11 Feb
libeneke la full shangwe lapata kwikwi ya kiufundi, kurudi hewani muda si mrefu ujao
TUNAOMBA RADHI KWA WADAU WETU NBC, NHIF, TTB, NMB, THE FADHAGETI SANITARIUM, WILNA INTERNATIONAL NA WENGINE WOTE PAMOJA NA WATEMBELEAJI WETU POPOTE WALIPO KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA.
JOHN BUKUKU MMILIKI WA FULL SHANGWE BLOG
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--DjwadCaWmQ/VcmHTmASqcI/AAAAAAABTdc/wrZ7VFCtLkE/s72-c/modewjiblog%2Blogo.jpg)
MODEWJI BLOG INAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/--DjwadCaWmQ/VcmHTmASqcI/AAAAAAABTdc/wrZ7VFCtLkE/s640/modewjiblog%2Blogo.jpg)
Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii kwa taarifa zaidihttps://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.
Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.
There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack. We...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-55So738ZhKw/VIJrNnw06kI/AAAAAAAA-eU/rHZkdXVOkFc/s72-c/1010706_703581833016424_3678718462065793720_n.jpg)
KHERI YA KUZALIWA KWA MWANA LIBENEKE GEOFREY WA PAMOJA BLOG
![](http://4.bp.blogspot.com/-55So738ZhKw/VIJrNnw06kI/AAAAAAAA-eU/rHZkdXVOkFc/s1600/1010706_703581833016424_3678718462065793720_n.jpg)
Kwanza kabisa natoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunifikisha leo tarehe 06 mwezi wa 12 maana ndio kumbukumbu yangu ya kuingia duniani.Namshukuru mama yangu mzazi aliyanizaa na kunilea mpaka hapa nilipo ni kwa uwezo wake nampenda sana mama yangu.
Nawashuku sana ndugu zangu wote kwa support wanazonipa ili nifikie malengo niliyojiweke na Pia sina budi kuwashukuru Mablogger wanaonipa support ya nguvu maana...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/rUDlVpA4AYo/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6SG5zLMr1xo/U_xILC57mRI/AAAAAAAGCd0/mdldv8YpdTs/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-08-26%2Bat%2B11.39.05%2BAM.png)
Mdau Chris Mauki aja na libeneke lake jipya
![](http://4.bp.blogspot.com/-6SG5zLMr1xo/U_xILC57mRI/AAAAAAAGCd0/mdldv8YpdTs/s1600/Screen%2BShot%2B2014-08-26%2Bat%2B11.39.05%2BAM.png)