Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIBENEKE LA MDAU FRANCIS GODWIN BLOG LAREJEA HEWANI BAADA YA KUPATWA NA KWIKWII

Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima:: Uongozi  wa mtandao  wa www.francisgodwin.blogspot.com unapenda  kuwaomba  radhi  wadau  wake  kutokana na usumbufu mkubwa  uliojitokeza kwa kipindi cha  zaidi ya  wiki moja  sasa kwa mtandao huo kutokuwepo hewani ,ila tunapenda  kuwataarifa  kuwa  kuanzia leo mtandao huo wa francisgodwinblog upo hewani hivyo endelea  kupata habari na matukio mbali mbali kama  ilivyokuwa awali kwa  kutembelea...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 45

modewjiblog logoBaada ya kwikwi ya saa takribani 48 wataalamu wa Modewji blog wanakurejeshea hewani Blog yako pendwa.Watundu wanaovuruga mambo mtandaoni (hackers) walijaribu kuimiliki blog hii kwa kufanya majaribio zaidi ya mara 300 yaliyosababisha mifumo ya kiusalama, kufanyakazi ya ziada kuihami Modewjiblog.Hata hivyo wataalamu wetu wameziba mianya iliyokuwa imesababisha hali hiyo na sasa tupo pamoja nanyi.Tunashukuru kwa uvumilivu wenu, tuko pamoja na endelea kuperuzi nasi.Kwa mawasiliano zaidi tutumie...

 

10 years ago

Michuzi

MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 4*

modewjiblog logoBaada ya kwikwi ya saa takribani 48 wataalamu wa Modewji blog wanakurejeshea hewani Blog yako pendwa.Watundu wanaovuruga mambo mtandaoni (hackers) walijaribu kuimiliki blog hii kwa kufanya majaribio zaidi ya mara 300 yaliyosababisha mifumo ya kiusalama, kufanyakazi ya ziada kuihami Modewjiblog.Hata hivyo wataalamu wetu wameziba mianya iliyokuwa imesababisha hali hiyo na sasa tupo pamoja nanyi.Tunashukuru kwa uvumilivu wenu, tuko pamoja na endelea kuperuzi nasi.Kwa mawasiliano zaidi tutumie...

 

10 years ago

Dewji Blog

Blog mpya ya siasa iko hewani

Untitled-1 copy

KWA MATUKIO MBALIMBALI YANAYOHUSU MASUALA YA SIASA ZIKIWEMO HABARI MAKALA FUPIFUPI, VITUKO, KUJIFAGILIA NA UWAJIBIKAJI WA WANASIASA KWA JAMII TEMBELEA www.politikstz.blogspot.com ILI UPATE KUJUA, KUELIMIKA NA KUBURUDIKA. PIA UNAWEZA KUTUTUMIA HABARI, MATUKIO YA PICHA NA MAKALA FUPIFUPI LAKINI ZISIWE HABARI ZA KUCHAFUA HALI YA HEWA AMA KUMCHAFUA MTU TUTUMIE KWA EMAIL HII .politikstz@gmail.comTUTASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU.

 

10 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani

mjengwablog11

Ndugu zangu,

Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio

Poleni kwa usumbufu.

Maggid Mjengwa,

Mwenyekiti Mtendaji

IkoloMedia

Iringa.

 

11 years ago

Michuzi

libeneke la full shangwe lapata kwikwi ya kiufundi, kurudi hewani muda si mrefu ujao

WADAU WA FULLSHANGWE BLOG TUMEPATA TATIZO LA KWIKWI YA KIUFUNDI HAPO JANA HIVYO TUNALIFANYIA KAZI HARAKA KWA KADIRI INAVYOWEZEKANA ILI TUWEZE KURUDI HEWANI.
TUNAOMBA RADHI KWA WADAU WETU NBC, NHIF, TTB, NMB, THE FADHAGETI SANITARIUM, WILNA INTERNATIONAL NA WENGINE WOTE PAMOJA NA WATEMBELEAJI WETU POPOTE WALIPO KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA.
JOHN BUKUKU MMILIKI WA FULL SHANGWE BLOG

 

10 years ago

Vijimambo

MODEWJI BLOG INAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI


Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii  kwa taarifa zaidihttps://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.
Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.
There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack. We...

 

10 years ago

Michuzi

KHERI YA KUZALIWA KWA MWANA LIBENEKE GEOFREY WA PAMOJA BLOG



Leo ni siku ya kuzaliwa blogger Geofrey Adroph kwa jina maarufu ni PAMOJA BLOG .
Kwanza kabisa natoa shukrani kwa mwenyezi mungu kwa kunifikisha leo  tarehe 06 mwezi wa 12 maana ndio kumbukumbu yangu ya kuingia duniani.Namshukuru mama yangu mzazi aliyanizaa na kunilea mpaka hapa nilipo ni kwa uwezo wake nampenda sana mama yangu.
Nawashuku sana ndugu zangu wote kwa support wanazonipa ili nifikie malengo niliyojiweke na Pia sina budi kuwashukuru Mablogger wanaonipa support ya nguvu maana...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Chris Mauki aja na libeneke lake jipya

Mdau Chris Mauki ameibuka na libeneke lake zuri kabisa lenye lengo la kuwahabarisha wadau kuhusu masuala ya saikolojia, familia, mahusiano, na malezi pindi upatapo nafasi ya kutembelea Libeneke lolote lile,basi usisite kutia baraka katika libeneke la Mdau Chris Mauki ili upate uhondo kwa kubofya hiyo Link hapo chini.www.chrismauki.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani