MODEWJI BLOG INAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/--DjwadCaWmQ/VcmHTmASqcI/AAAAAAABTdc/wrZ7VFCtLkE/s72-c/modewjiblog%2Blogo.jpg)
Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii kwa taarifa zaidihttps://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.
Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.
There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack. We...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Aug
MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 4*
![modewjiblog logo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/modewjiblog-logo.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 45
![modewjiblog logo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/modewjiblog-logo.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
MOblog inaomba radhi kwa wasomaji wake
Mtandao wako wa habari www.modewjiblog.com unaomba radhi wa wasomaji wake kwa kutokuwa hewani kutokana na matatizo ya kiufundi yaliyojitokeza siku ya Jumamosi ambayo yameshughulikiwa na wataalamu wetu.
Kwa hivyo tunapenda kuwapa taarifa kuwa mtandao wetu umerudi hewani katika hali yake ya kawaida.
Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza husani kwa wasomaji wetu pamoja na wadhamini wetu BancABC, East Coast Oils and Fats Ltd, MeTL AGRO, Dar Insights, Wanawake Live pamoja MeTL...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/moblog-2.jpg)
MOblog INAOMBA RADHI KWA WASOMAJI WAKE
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s72-c/MJENGWA.jpg)
KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s1600/MJENGWA.jpg)
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pIRF2oTwTNc/U6F71HfCVfI/AAAAAAAFrgM/75fFMB57Hq8/s72-c/unnamed+(17).jpg)
M-Pesa yarejea hewani,Vodacoma yawaomba radhi wateja wake kwa tatizo lililojitokeza
![](http://2.bp.blogspot.com/-pIRF2oTwTNc/U6F71HfCVfI/AAAAAAAFrgM/75fFMB57Hq8/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuwa huduma hiyo kwa sasa iko imara na kuchukua nafasi hiyo kuwoamba radhi wateja kwa usumbufu walioupata wakati huduma hiyo ilipokosekana.
“Napenda kuwaomba radhi wateja wetu...
10 years ago
Dewji Blog01 May
Modewji blog wishes you a Happy May Day
Let us celebrate the Labour, Those built up this Great Land, Happy May Day!
“All labor that uplifts humanity has dignity and importance and should be undertaken with painstaking excellence.” Martin Luther King Jr.