Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MODEWJI BLOG INAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI


Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii  kwa taarifa zaidihttps://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.
Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.
There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack. We...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 4*

modewjiblog logoBaada ya kwikwi ya saa takribani 48 wataalamu wa Modewji blog wanakurejeshea hewani Blog yako pendwa.Watundu wanaovuruga mambo mtandaoni (hackers) walijaribu kuimiliki blog hii kwa kufanya majaribio zaidi ya mara 300 yaliyosababisha mifumo ya kiusalama, kufanyakazi ya ziada kuihami Modewjiblog.Hata hivyo wataalamu wetu wameziba mianya iliyokuwa imesababisha hali hiyo na sasa tupo pamoja nanyi.Tunashukuru kwa uvumilivu wenu, tuko pamoja na endelea kuperuzi nasi.Kwa mawasiliano zaidi tutumie...

 

10 years ago

Vijimambo

MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 45

modewjiblog logoBaada ya kwikwi ya saa takribani 48 wataalamu wa Modewji blog wanakurejeshea hewani Blog yako pendwa.Watundu wanaovuruga mambo mtandaoni (hackers) walijaribu kuimiliki blog hii kwa kufanya majaribio zaidi ya mara 300 yaliyosababisha mifumo ya kiusalama, kufanyakazi ya ziada kuihami Modewjiblog.Hata hivyo wataalamu wetu wameziba mianya iliyokuwa imesababisha hali hiyo na sasa tupo pamoja nanyi.Tunashukuru kwa uvumilivu wenu, tuko pamoja na endelea kuperuzi nasi.Kwa mawasiliano zaidi tutumie...

 

10 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani

mjengwablog11

Ndugu zangu,

Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio

Poleni kwa usumbufu.

Maggid Mjengwa,

Mwenyekiti Mtendaji

IkoloMedia

Iringa.

 

11 years ago

Dewji Blog

MOblog inaomba radhi kwa wasomaji wake

Print

Mtandao wako wa habari www.modewjiblog.com unaomba radhi wa wasomaji wake kwa kutokuwa hewani kutokana na matatizo ya kiufundi yaliyojitokeza siku ya Jumamosi ambayo yameshughulikiwa na  wataalamu wetu.

Kwa hivyo tunapenda kuwapa taarifa kuwa mtandao wetu umerudi hewani katika hali yake ya kawaida.

Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza husani kwa wasomaji wetu pamoja na wadhamini wetu BancABC, East Coast Oils and Fats Ltd, MeTL AGRO, Dar Insights, Wanawake Live pamoja MeTL...

 

11 years ago

GPL

MOblog INAOMBA RADHI KWA WASOMAJI WAKE‏

Mtandao wako wa habari www.modewjiblog.com unaomba radhi wa wasomaji wake kwa kutokuwa hewani kutokana na matatizo ya kiufundi yaliyojitokeza siku ya Jumamosi ambayo yameshughulikiwa na wataalamu wetu. Kwa hivyo tunapenda kuwapa taarifa kuwa mtandao wetu umerudi hewani katika hali yake ya kawaida. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza husani kwa wasomaji wetu pamoja na wadhamini wetu BancABC, East Coast Oils and Fats...

 

11 years ago

Michuzi

KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI

NDUGU ZANGU,
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...

 

11 years ago

Michuzi

M-Pesa yarejea hewani,Vodacoma yawaomba radhi wateja wake kwa tatizo lililojitokeza

Wateja wa huduma ya M-pesa wamehakikishiwa usalama wa fedha zao wakati ambapo huduma hiyo ikiwa imerejea kwa asilimia mia moja baada ya kukosekana kufuatia tatizo la kiufundi lililojitokeza mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuwa huduma hiyo kwa sasa iko imara na kuchukua nafasi hiyo kuwoamba radhi wateja kwa usumbufu walioupata wakati huduma hiyo ilipokosekana.
“Napenda kuwaomba radhi wateja wetu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Modewji blog wishes you a Happy May Day

may-day-fb-and-whatsapp-status-2015

Let us celebrate the Labour, Those built up this Great Land, Happy May Day!

“All labor that uplifts humanity has dignity and importance and should be undertaken with painstaking excellence.” Martin Luther King Jr.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani