Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--DjwadCaWmQ/VcmHTmASqcI/AAAAAAABTdc/wrZ7VFCtLkE/s72-c/modewjiblog%2Blogo.jpg)
MODEWJI BLOG INAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/--DjwadCaWmQ/VcmHTmASqcI/AAAAAAABTdc/wrZ7VFCtLkE/s640/modewjiblog%2Blogo.jpg)
Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii kwa taarifa zaidihttps://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.
Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.
There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack. We...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s72-c/MJENGWA.jpg)
KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s1600/MJENGWA.jpg)
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kurushwa Mjengwa Blog
KIPINDI cha ‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kimezindulia na mtandao wa kijamii wa Mjengwa Blog ambacho kitakuwa kikirushwa na Redio Kwanza Jamii. Akizungumza na Tanzania Daima Dar es Salaam jana Mkurugenzi...
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Blog mpya ya siasa iko hewani
KWA MATUKIO MBALIMBALI YANAYOHUSU MASUALA YA SIASA ZIKIWEMO HABARI MAKALA FUPIFUPI, VITUKO, KUJIFAGILIA NA UWAJIBIKAJI WA WANASIASA KWA JAMII TEMBELEA www.politikstz.blogspot.com ILI UPATE KUJUA, KUELIMIKA NA KUBURUDIKA. PIA UNAWEZA KUTUTUMIA HABARI, MATUKIO YA PICHA NA MAKALA FUPIFUPI LAKINI ZISIWE HABARI ZA KUCHAFUA HALI YA HEWA AMA KUMCHAFUA MTU TUTUMIE KWA EMAIL HII .politikstz@gmail.comTUTASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU.
10 years ago
Vijimambo13 Aug
MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 45
![modewjiblog logo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/modewjiblog-logo.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Aug
MODEWJI BLOG YARUDI HEWANI BAADA YA KWIKWI YA MASAA 4*
![modewjiblog logo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/modewjiblog-logo.jpg)
11 years ago
Michuzi26 May
LIBENEKE LA MDAU FRANCIS GODWIN BLOG LAREJEA HEWANI BAADA YA KUPATWA NA KWIKWII
![Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima::](https://4.bp.blogspot.com/-8xv5knS9IsE/UYtG1VE5KdI/AAAAAAABKQQ/IrHEIs14SKA/s1600/fgh.png)
10 years ago
Michuzi13 Dec
TAARIFA: MJENGWABLOG IMERUDI HEWANI!
Ni saa kadhaa zilizopita. Tunawashukuru wote mliotutumia jumbe na kutupigia simu kuulizia kulikoni. Mmeonyesha kujali.
Tunaamini, kuna wengi pia ambao hawakupata nafasi ya kuulizia tatizo, lakini, kuwa wapo pamoja nasi,tunawashukuru sana.
Unaweza sasa kutembelea
http://mjengwablog.com