‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kurushwa Mjengwa Blog
KIPINDI cha ‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kimezindulia na mtandao wa kijamii wa Mjengwa Blog ambacho kitakuwa kikirushwa na Redio Kwanza Jamii. Akizungumza na Tanzania Daima Dar es Salaam jana Mkurugenzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Sikiliza Live kutoka soko la habari Kariakoo…!
Leo Jumatatu, Aprili 7, Redio yako ya Kijamii ya KwanzaJamii imeandika historia kwa kuwa redio ya kwanza hapa nchini kuwaletea wasikilizaji dondoo za habari za magazetini kutokea kwenye soko lenyewe la habari, ni pale kona ya Uhuru na Msimbazi, Kariakoo.
Ni kipindi cha kila siku kuanzia saa kumi na moja na nusu alfajiri. Mwandishi/ Mtangazaji wa KwanzaJamii atakuwa sokoni hapo na kuungana moja kwa moja na studio za Kwanzajamii radio Iringa.
Sambamba na redio, habari hizo na picha za...
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Sikiliza Kipindi cha leo ‘kutoka soko la habari Kariakoo’
http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/10551-sikiliza-kipindi-cha-soko-la-habari-kariakoo.html#.U0ZENvmSzFV
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mpMgyqaiGbU/U0JSm-rxvtI/AAAAAAAFZHo/4pFDv9Vn4Yo/s72-c/1509240_687906877940440_3664331022916754596_n.jpg)
SIKILIZA KWANZAJAMII RADION LIVE KUTOKA SOKO LA HABARI KARIAKOO...!
![](http://1.bp.blogspot.com/-mpMgyqaiGbU/U0JSm-rxvtI/AAAAAAAFZHo/4pFDv9Vn4Yo/s1600/1509240_687906877940440_3664331022916754596_n.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kZJZVYFzlDs/U0rOBcMtZGI/AAAAAAAFahg/b4haB08KY0o/s72-c/karibu-mjengwa.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
11 years ago
Habarileo25 Jun
Soko la Kariakoo lazindua tovuti
SOKO la Kariakoo limezindua tovuti yake maalumu kwa ajili ya kutoa taarifa mbalimbali za soko hilo, ikiwa ni pamoja na bei za mazao za kila siku kwa wadau wake. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Meneja wa Soko hilo, Anderson Shaka alisema tovuti hiyo ni http:www.kariakoo.or.tz/sw/ .
11 years ago
Mwananchi08 May
Walalamikia usafi wa soko Kariakoo
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Majaliwa ageukia Soko la Kariakoo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Akn4LDwu9XwRYXx4jL7gZiAFwC7Of0Gc184HKrNe8PRW5B99001Dt3doSkHkFZI0-wuApZgCbd4EEZSY*zyqg6VUeLqu**1q/1975025_631080796971070_1650113863_n.jpg)