Sikiliza Kipindi cha leo ‘kutoka soko la habari Kariakoo’
http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/10551-sikiliza-kipindi-cha-soko-la-habari-kariakoo.html#.U0ZENvmSzFV
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi11 years ago
Michuzi11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Sikiliza Live kutoka soko la habari Kariakoo…!
Leo Jumatatu, Aprili 7, Redio yako ya Kijamii ya KwanzaJamii imeandika historia kwa kuwa redio ya kwanza hapa nchini kuwaletea wasikilizaji dondoo za habari za magazetini kutokea kwenye soko lenyewe la habari, ni pale kona ya Uhuru na Msimbazi, Kariakoo.
Ni kipindi cha kila siku kuanzia saa kumi na moja na nusu alfajiri. Mwandishi/ Mtangazaji wa KwanzaJamii atakuwa sokoni hapo na kuungana moja kwa moja na studio za Kwanzajamii radio Iringa.
Sambamba na redio, habari hizo na picha za...
11 years ago
MichuziSIKILIZA KWANZAJAMII RADION LIVE KUTOKA SOKO LA HABARI KARIAKOO...!
9 years ago
Michuzi11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kurushwa Mjengwa Blog
KIPINDI cha ‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kimezindulia na mtandao wa kijamii wa Mjengwa Blog ambacho kitakuwa kikirushwa na Redio Kwanza Jamii. Akizungumza na Tanzania Daima Dar es Salaam jana Mkurugenzi...
10 years ago
Michuzi9 years ago
Bongo503 Nov
Audio: Sikiliza kipindi cha Chill na Sky kikiwa na Belle 9
10 years ago
VijimamboSikiliza marudio ya kipindi cha MISHUMAA YA KALE (Jan 23, 2015)
MISHUMAA YA KALE ni kipindi kinachokuwezesha "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi kipya cha MISHUMAA YA KALE kinakachokujia kila Ijumaa kuanzia saa 11 kamili jioni mpaka saa 1...