Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA: MJENGWABLOG IMERUDI HEWANI!

Ndugu zangu,
Ni saa kadhaa zilizopita. Tunawashukuru wote mliotutumia jumbe na kutupigia simu kuulizia kulikoni. Mmeonyesha kujali. 

Tunaamini, kuna wengi pia ambao hawakupata nafasi ya kuulizia tatizo, lakini, kuwa wapo pamoja nasi,tunawashukuru sana. 
Unaweza sasa kutembelea
http://mjengwablog.com

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Taarifa: Mjengwablog imerudi hewani saa kadhaa zilizopita

mjengwablog1

NDUGU ZANGU,

MJENGWABLOG SASA IKO HEWANI .

UNAWEZA KUITEMBELEA KUPITIA http://mjengwablog.com/

POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI.

 

11 years ago

Michuzi

KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI

NDUGU ZANGU,
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...

 

11 years ago

GPL

OH! OH! MJENGWABLOG HAIKO HEWANI....!‏

Mwenyekiti Mtendaji, Maggid Mjengwa. Ndugu zangu, Tunasikitika kuwajulisha kuwa mtandao wenu wa kihabari, picha na mijadala mliouzoea wa Mjengwablog.com hauko hewani tangu saa kumi na mbili alfajiri ya leo. Kuna tatizo la kiufundi lililo nje ya uwezo wetu. Jitihada zinafanyika kuhakikisha kuwa Mjengwablog.com inarudi hewani ndani ya saa tatu zijazo. Tunawaomba radhi kwa usumbufu. Maggid Mjengwa, Mwenyekiti...

 

10 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani

mjengwablog11

Ndugu zangu,

Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio

Poleni kwa usumbufu.

Maggid Mjengwa,

Mwenyekiti Mtendaji

IkoloMedia

Iringa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ndio! Fuso ni Faida imerudi tena!

image 1

Wafanyakazi wa Diamond Motors Limited wakiwapa maelezo mbalimbali watu waliojitokeza katika maonyesho ya Kampeni ya Ndio! Fuso ni Faida iliyoanza 24 julai 2015 jijini Dar es Salaam.

image 2

image 3

image 4

Kampeni ya Ndio! Fuso ni Faida Ilianza kwa kishindo jijini Dar es Salaam na baadae kuelekea mikoa mingine kama vile Tanga, Moshi – Kilimanjaro, Arusha, Mwanza, Kahama-Shinyanga, Dodoma, Iringa, Mbeya, Songea- Ruvuma na mwishowe kuishia Dar es Salaam.    

image 6

image 7

Diamond Motors Limited ni wasambazaji wa magari pekee...

 

9 years ago

Mwananchi

African Sports, imerudi kubipu au kupiga?

Ghafla, klabu ya African Sports ya Tanga imerudi katika Ligi Kuu nchini. Ilikuwa ni raha ya aina yake kuitazama zamani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

LEO LWEKAMWA: Tanganyika iliyonipeleka jela imerudi

JINA la Leo Lwekamwa si geni masikioni mwa wafuatiliaji wa siasa za mageuzi nchini. Huyu ndiye muasisi wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) mwaka 1991. TLP ilipata usajili wa kudumu...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Tuamke, Ebola imerudi kwa kasi kubwa

>Kwa ukimya huu, inawezekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania haina taarifa za kuibuka na kusambaa kwa kasi kwa ugonjwa hatari wa ebola, ambao tayari umeua zaidi ya watu 518 na kuambukiza wengine 759 katika nchi kadhaa barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani