TAARIFA: MJENGWABLOG IMERUDI HEWANI!
Ndugu zangu,
Ni saa kadhaa zilizopita. Tunawashukuru wote mliotutumia jumbe na kutupigia simu kuulizia kulikoni. Mmeonyesha kujali.
Tunaamini, kuna wengi pia ambao hawakupata nafasi ya kuulizia tatizo, lakini, kuwa wapo pamoja nasi,tunawashukuru sana.
Unaweza sasa kutembelea
http://mjengwablog.com
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Taarifa: Mjengwablog imerudi hewani saa kadhaa zilizopita
NDUGU ZANGU,
MJENGWABLOG SASA IKO HEWANI .
UNAWEZA KUITEMBELEA KUPITIA http://mjengwablog.com/
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s72-c/MJENGWA.jpg)
KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s1600/MJENGWA.jpg)
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1e4Jt7hjAtvhaeKEYeaOWDBtFxqOO5d5Yn8in1myW0KuFcP-kxv3At*I-FNPNY33B-7DXZtvuybBr4*5n2EoAu/images.jpg?width=534)
OH! OH! MJENGWABLOG HAIKO HEWANI....!
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Ndio! Fuso ni Faida imerudi tena!
Wafanyakazi wa Diamond Motors Limited wakiwapa maelezo mbalimbali watu waliojitokeza katika maonyesho ya Kampeni ya Ndio! Fuso ni Faida iliyoanza 24 julai 2015 jijini Dar es Salaam.
Kampeni ya Ndio! Fuso ni Faida Ilianza kwa kishindo jijini Dar es Salaam na baadae kuelekea mikoa mingine kama vile Tanga, Moshi – Kilimanjaro, Arusha, Mwanza, Kahama-Shinyanga, Dodoma, Iringa, Mbeya, Songea- Ruvuma na mwishowe kuishia Dar es Salaam.
Diamond Motors Limited ni wasambazaji wa magari pekee...
9 years ago
Mwananchi04 Sep
African Sports, imerudi kubipu au kupiga?
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
LEO LWEKAMWA: Tanganyika iliyonipeleka jela imerudi
JINA la Leo Lwekamwa si geni masikioni mwa wafuatiliaji wa siasa za mageuzi nchini. Huyu ndiye muasisi wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) mwaka 1991. TLP ilipata usajili wa kudumu...
11 years ago
Mwananchi11 Jul
MAONI: Tuamke, Ebola imerudi kwa kasi kubwa