Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Tuamke, Ebola imerudi kwa kasi kubwa

>Kwa ukimya huu, inawezekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania haina taarifa za kuibuka na kusambaa kwa kasi kwa ugonjwa hatari wa ebola, ambao tayari umeua zaidi ya watu 518 na kuambukiza wengine 759 katika nchi kadhaa barani Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

China na India: Kwanini hofu imerudi kati ya majeshi ya mataifa haya yenye idadi kubwa ya watu duniani

Majeshi ya China na India yamejikuta katika makabiliano makali kwenye eneo la Himalayas, ambao una uwezo wa kuongezeka zaidi wakati ambapo pande zote mbii zinajitahidi kuendeleza malego yake ya kimkakati.

 

10 years ago

Dewji Blog

JK ataka msaada ESRF kuondoa umaskini kwenye uchumi unaokua kwa kasi kubwa

DSC_0039

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)  nchini , Alvaro Rodriguez nje ya ukumbi wa mikutano kabla ya mgeni rasmi kuwasili kwenye mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii uliofanyika jana jijini Dar katika hoteli ya Hyatt Regency,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola inaenea kwa kasi ya kutisha

Shirika la afya duniani linasema kuwa ugonjwa wa Ebola unaendelea kuenea kwa kasi ya kutisha na kuzua hofu Afrika Magharibi.

 

10 years ago

GPL

JK ATAKA MSAADA ESRF KUONDOA UMASKINI KWENYE UCHUMI UNAOKUA KWA KASI KUBWA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini , Alvaro Rodriguez nje ya ukumbi wa mikutano kabla ya mgeni rasmi kuwasili kwenye mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii...

 

9 years ago

Michuzi

Hoja ya haja: Kasi ya “HAPA NI KAZI TU” ni nzuri, ila itekelezwe kwa tahadhari kubwa

Na Mathew MndemeTunamshukuru Mungu kwamba Rais kateua mawaziri na serikali imeanza kazi rasmi. Kila waziri kwa sehemu yake ameonesha kwamba ana hamasa na motisha ya kufanya kazi na kwa mara ya kwanza (huenda tangu nipate akili) tumeshuhudia mawaziri wakianza kazi lisaa limoja baada yakuapishwa huku kukiwa na habari kwamba hHii ni njema sana na ni dalili nzuri katika kujenga Tanzania mpya inayothamiawa kunywa hata juice walizoandaliwa kwenye ukumbi wa kuapishwa. Ni kazi na utumishi kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola inaenea kwa kasi nchini Liberia

Ugonjwa wa Ebola unaenea kwa kasi nchini Liberia huku maelfu ya watu wakiambukizwa upya na idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Visa vya Ebola vimeongezeka kwa kasi

Shirika la afya duniani WHO linasema kuwa visa vipya vya ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika vimeongezeka kwa kasi mno.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola ni funzo kubwa kwa WHO na dunia

Shirika la Afya Duniani, WHO limekutana kuangalia wapi imekosa katika maafa ya Ebola

 

9 years ago

Michuzi

MSD YAKARABATI JENGO LA DUKA LA DAWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI KWA KASI KUBWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS DK.MAGUFULI

Na Dotto Mwaibale

BOHARI ya Dawa (MSD) imejiimarisha na kuhahikisha inatekeleza kwa wakati agizo la Rais Dk. John Magufuli la kuweka maduka ya dawa katika hospitali za rufaa na kanda nchini.

Katika kutekeleza agizo hilo MSD imeanza kwa kasi kubwa ya kukarabati jengo la duka la dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambalo linatarajiwa kufunguliwa kesho.

Mwandishi wa habari hii alishuhudia jana kasi kubwa ya mafundi ujenzi wakikarabati jengo hilo ambalo awali lilikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani