Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola inaenea kwa kasi ya kutisha

Shirika la afya duniani linasema kuwa ugonjwa wa Ebola unaendelea kuenea kwa kasi ya kutisha na kuzua hofu Afrika Magharibi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola inaenea kwa kasi nchini Liberia

Ugonjwa wa Ebola unaenea kwa kasi nchini Liberia huku maelfu ya watu wakiambukizwa upya na idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka

 

10 years ago

Mwananchi

UTAFITI : Ebola inaenea haraka zaidi kwa wanawake kuliko wanaume

Ingawa binadamu wote ni sawa, lakini ni jambo la kushangaza kuona kuwa wakati wa mlipuko wa ugonjwa fulani, jinsi moja inaathirika zaidi kuliko nyingine.

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Visa vya Ebola vimeongezeka kwa kasi

Shirika la afya duniani WHO linasema kuwa visa vipya vya ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika vimeongezeka kwa kasi mno.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Tuamke, Ebola imerudi kwa kasi kubwa

>Kwa ukimya huu, inawezekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania haina taarifa za kuibuka na kusambaa kwa kasi kwa ugonjwa hatari wa ebola, ambao tayari umeua zaidi ya watu 518 na kuambukiza wengine 759 katika nchi kadhaa barani Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yazidi kasi

Kasi kubwa ya usaambaji wa virusi vya ugonjwa wa Ebola imesababisha michuano ya kombe la mataifa ya Africa mashakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:'Kasi ya Ebola inatisha'

Afisaa wa UN Anthony Banbury amesema kwamba kasi ya maambukizi ya Ebola ni ya kutisha na kwamba, huenda ikashindikana kudhibiti

 

10 years ago

GPL

KWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei...

 

9 years ago

Michuzi

libeneke la zawadi kwa wenye stika za EFM 93.7 laendelea kwa kasi

 Mshindi mwingine tabasamu na kufarahiya kukabidhiwa zawadi yake na Jimmy Jiam baada yakuonekana kuwa ameweka stika ya EFM kwenye sehemu yake ya bishara huko Kisarawe mkoa wa Pwani ambako kituo hiki pendwa husikika bila kelele wala mikwaruzo.  Mshindi mwingine huko Kisarawe akipewa zawadi yake na Jimmy Jiam na huku Jimmy Jiam akiwa anaongea moja kwa moja yaani  live kupitia masafa ya 93.7 EFM. Jimmy Jiam akimtunza mshindi wa Muziki Mnene bango baada yakuona kuwa ameweka stika za EFM kwenye...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?

Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?

EWURA

 

Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei ambayo ni karibia ile ile kwa miezi michache...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani