Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola yazidi kasi

Kasi kubwa ya usaambaji wa virusi vya ugonjwa wa Ebola imesababisha michuano ya kombe la mataifa ya Africa mashakani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Kasi ya kipindupindu yazidi kuongezeka Dodoma

????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????NA DEBORA SANJA,DODOMA

KASI ya ugonjwa wa kipindipindu katika Manispaa ya Dodoma inazidi kuongezeka huku kwa sasa kuna wastani wa wagonjwa wapya wanane kila siku.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Mganga Mkuu wa Manispaa ya Dodoma, James Charles wakati akizungumza katika kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi kilichokuwa na lengo la kuweka mikakati ya kutokomeza ugonjwa huo.

Alisema hali hiyo ya wagonjwa wapya ikiendelea hivyo, Kambi Maalumu iliyotengwa kwa ajili ya kutibu wagonjwa hao itaelemewa kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafungu ya Ukimwi yazidi kushuka, maambukizi mapya yashika kasi

Wakati watu watatu walipothibitika kuwa na maambukizi ya Ukimwi mwaka 1983, hakuna ambaye angeweza kutabiri kile ambacho kingeweza kutokea miaka michache baadaye.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:'Kasi ya Ebola inatisha'

Afisaa wa UN Anthony Banbury amesema kwamba kasi ya maambukizi ya Ebola ni ya kutisha na kwamba, huenda ikashindikana kudhibiti

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola inaenea kwa kasi ya kutisha

Shirika la afya duniani linasema kuwa ugonjwa wa Ebola unaendelea kuenea kwa kasi ya kutisha na kuzua hofu Afrika Magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola inaenea kwa kasi nchini Liberia

Ugonjwa wa Ebola unaenea kwa kasi nchini Liberia huku maelfu ya watu wakiambukizwa upya na idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Visa vya Ebola vimeongezeka kwa kasi

Shirika la afya duniani WHO linasema kuwa visa vipya vya ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika vimeongezeka kwa kasi mno.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Tuamke, Ebola imerudi kwa kasi kubwa

>Kwa ukimya huu, inawezekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania haina taarifa za kuibuka na kusambaa kwa kasi kwa ugonjwa hatari wa ebola, ambao tayari umeua zaidi ya watu 518 na kuambukiza wengine 759 katika nchi kadhaa barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani