Mafungu ya Ukimwi yazidi kushuka, maambukizi mapya yashika kasi
Wakati watu watatu walipothibitika kuwa na maambukizi ya Ukimwi mwaka 1983, hakuna ambaye angeweza kutabiri kile ambacho kingeweza kutokea miaka michache baadaye.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Dkt. Kone asema maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI mkoani Singida yazidi kuongezeka
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI yaliyofanyika katika kijiji cha Sepuka wilaya ya Ikungi.Kaimu mkuu huyo wa mkoa, amesema kuwa jumla ya waathirika wa VVU 17,720 mkoani hapa, 12,286 wameandikishwa kwa ajili ya kupatiwa dawa za kufumbaza virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari wa UKIMWI.
Na Nathaniel Limu.
Jumla ya watu 17,720 mkoani Singida wanaoishi na Virusi vya Ukimwi walioandikishwa hadi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnX1TduGx3ZwJboRFmQupoU9mHS6TMNwKv*MeiXivf44mG-zPtMhrJ8pP5*RfvR7w4MOn4Z7Dz-KVjikZ6agE3Kf/1.jpg?width=650)
DAMU SALAMA: MAAMBUKIZI YA HOMA YA INI YAZIDI UKIMWI KWA 5.6%
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Elimu itolewe kwa wananchi ili kuzuia kasi ya maambukizi mapya ya VVU Wilayani Mafia — Mama Salma Kikwete
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akizungumza na wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia (hawapo pichani).
Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani).
Na Anna Nkinda – Maelezo, Mafia
Viongozi wa wilaya ya Mafia na wafanyakazi wa Idara ya afya wametakiwa kuhakikisha elimu ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inatolewa...
9 years ago
Habarileo19 Nov
Bomoabomoa Dar yashika kasi
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakishirikiana na Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana iliendesha bomoabomoa ya nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi katika Manispaa hiyo.
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mapigano yashika kasi Syria
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Dar yashika nafasi ya sita maambukizi ya VVU Afrika
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mauaji ya watuhumiwa yashika kasi Mbeya
UTAMADUNI mbovu wa kujichukulia sheria mikononi umezidi kushika kasi mkoani Mbeya baada ya watu wawili kuuawa juzi katika matukio mawili tofauti.
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Maandamano yashika kasi nchini Venezuela
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Vita dhidi ya ujangili yashika kasi
NA WILLIAM SHECHAMBO
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili nchini, zimechukua sura mpya baada ya kukabidhiwa helkopta na Taasisi ya Howard Buffet Foundation ya Marekani, kwa ajili ya shughuli hiyo.
Helikopta hiyo ni moja kati ya ahadi alizowahi kuzitoa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa serikali, kama jitihada zinazofanywa na wizara yake kwa kushirikiana na wadau katika kuhifadhi wanyamapori na maliasili.
Makabidhiano ya helikopta hiyo yalifanyika...