Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAMU SALAMA: MAAMBUKIZI YA HOMA YA INI YAZIDI UKIMWI KWA 5.6%

Ofisa Uhusiano Mpango wa Taifa wa Damu Salama,  Rajab Mwenda, akizungumza jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani).  Kulia ni ofisa kutoka Msalaba Mwekundu, Evelyne Kussaga.
Waandishi wa habari wakisikiliza maelezo kutoka kwa maofisa wa Damu Salama.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Homa ya ini hatari kuliko ukimwi

WADAU wa mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini (Hepatitis B), wamesema takriban watu milioni moja wanapoteza maisha kila mwaka dunia kutokana na ugonjwa huo. Pia wadau...

 

11 years ago

Habarileo

Homa ya ini inaua kuliko Ukimwi - daktari

IDARA ya afya mkoani hapa imehadharisha jamii dhidi ya ugonjwa wa ini, ikisema ni mbaya zaidi ya virusi vya Ukimwi.

 

11 years ago

GPL

HOMA YA INI: UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI

Makala: Mwandishi Wetu
NI ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafungu ya Ukimwi yazidi kushuka, maambukizi mapya yashika kasi

Wakati watu watatu walipothibitika kuwa na maambukizi ya Ukimwi mwaka 1983, hakuna ambaye angeweza kutabiri kile ambacho kingeweza kutokea miaka michache baadaye.

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Kone asema maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI mkoani Singida yazidi kuongezeka

DSC02565

Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI yaliyofanyika katika kijiji cha Sepuka wilaya ya Ikungi.Kaimu mkuu huyo wa mkoa, amesema kuwa jumla ya waathirika wa VVU 17,720 mkoani hapa, 12,286 wameandikishwa kwa ajili ya kupatiwa dawa za kufumbaza virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari wa UKIMWI.

Na Nathaniel Limu.

Jumla ya watu 17,720 mkoani Singida wanaoishi na Virusi vya Ukimwi walioandikishwa hadi...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF KUPIMA AFYA NA KUKUSANYA DAMU KWA USHIRIKIANO WA MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA KATIKA MIKOA SITA

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Michael Mhando akizungumza na Waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusiana na zoezi la upimaji afya na kukusanya damu salama kwa ushirikiano na Mpango wa damu salama katika mikoa sita nchini. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Mpango wa taifa wa Damu Salama, Rajab Mwenda.Baadhi ya maofisa wa NHIF walioshiriki mkutano huo na waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini. **********

 

11 years ago

Habarileo

RC Dar ataka tahadhari homa ya ini kwa watoto

MKOA wa Dar es Salaam umesema watoto waliozaliwa kabla ya mwaka 2008 hawana kinga ya ugonjwa wa homa ya ini, hivyo imeagiza Manispaa zote kuwapima na kuwapatia kinga ili kukabiliana na ugonjwa huo hatari. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki alisema hayo leo katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani na kuwasisitiza wanawake kuhakikisha wanapatiwa chanjo ya ugonjwa huo hasa wakati wa ujauzito.

 

11 years ago

GPL

KWA NINI GLOBAL PUBLISHERS IMEAMUA KUPAMBANA NA HOMA YA INI?

Mgonjwa mwenye Hepatitis B ngozi na macho yake vikiwa vya njano. Na Mwandishi Wetu
Taifa la Tanzania lipo kwenye hatari kubwa. Hepatitis B (homa ya ini) ni janga la kitaifa na dunia kwa jumla. Nchi yetu (Tanzania) ipo Kusini ya Jangwa la Sahara, eneo ambalo kijiografia ndilo hatari zaidi ulimwenguni kwa maambukizi. Ni ugonjwa hatari ambao hauna tiba ya moja kwa moja lakini kinga ipo. Jambo la kuhuzunisha ni kwamba wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani