Homa ya ini inaua kuliko Ukimwi - daktari
IDARA ya afya mkoani hapa imehadharisha jamii dhidi ya ugonjwa wa ini, ikisema ni mbaya zaidi ya virusi vya Ukimwi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Homa ya ini hatari kuliko ukimwi
WADAU wa mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini (Hepatitis B), wamesema takriban watu milioni moja wanapoteza maisha kila mwaka dunia kutokana na ugonjwa huo. Pia wadau...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2pobHs6gLczFt5BWiobDgvy0y*5tVN5s7AYD-*dkf4XfGFyp*apjLCtE63JgxcXpe-w3nYFuQh*jsyYcVhEs0Z9l/homa.jpg?width=640)
HOMA YA INI: UGONJWA HATARI KULIKO UKIMWI
Makala: Mwandishi Wetu
NI ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnX1TduGx3ZwJboRFmQupoU9mHS6TMNwKv*MeiXivf44mG-zPtMhrJ8pP5*RfvR7w4MOn4Z7Dz-KVjikZ6agE3Kf/1.jpg?width=650)
DAMU SALAMA: MAAMBUKIZI YA HOMA YA INI YAZIDI UKIMWI KWA 5.6%
Ofisa Uhusiano Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Rajab Mwenda, akizungumza jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani). Kulia ni ofisa kutoka Msalaba Mwekundu, Evelyne Kussaga.
Waandishi wa habari wakisikiliza maelezo kutoka kwa maofisa wa Damu Salama.…
11 years ago
GPLUZINDUZI HOMA YA INI LEO
Shigongo akizungumza kwa masikitiko jinsi watu wengi walivyo kwenye hatari ya kufa kwa ugonjwa wa ini. Stori: RICHARD BUKOS KAMPENI ya ugonjwa wa Homa ya Ini unaosambazwa na Virusi vya Hepatitis B inazinduliwa rasmi leo, Machi 7, mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Ilala – Amana, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Ijumaa, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers ambayo ndiyo inayoendesha kampeni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt5mVNlmH4kUIBvcycIyMCosy6czruRb3gP-QzVc7jiZ0cA5f7Mn0f3DN1P2cLBsFuaQv3ZfIMK-SaI493apIJlN/waziri.jpg?width=650)
KAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA KESHO
Makala:Â Mwandishi Wetu
KAMPENI ya ugonjwa wa Homa ya Ini unaosambazwa na Virusi vya Hepatitis B itazinduliwa rasmi kesho Ijumaa, Machi 7, mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Ilala–Amana, jijini Dar es Salaam. Shigongo akizungumza kwa masikitiko jinsi watu wengi walivyo kwenye hatari ya kufa kwa ugonjwa wa ini alipoongea na wanahabari (hawapo pichani) jana.
Akizungumza na Amani, Mkurugenzi Mtendaji wa...
11 years ago
GPLKAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA IJUMAA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo. KAMPENI ya ugonjwa wa Homa ya Ini unaosambazwa na Virusi vya Hepatitis B itazinduliwa rasmi keshokutwa Ijumaa, Machi 7, mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Ilala – Amana, Dar. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers ambayo ndiyo inayoendesha kampeni hiyo, Eric Shigongo alisema, kama kampuni...
11 years ago
GPLWADAU WAONGEZEKA KAMPENI YA HOMA YA INI
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo. Stori: Mwandishi Wetu
Kampeni iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd ya mapambano dhidi ya homa ya Ini (hepatitis B), imepokelewa kwa mikono miwili baada ya wadau muhimu katika sekta ya afya kujitokeza. Taasisi za Damu Salama, SD Afrika na Sanofi Pasteur, wamejitokeza kuungana na Global kuhakikisha kuwa homa hiyo inatokomezwa nchini....
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Wanafunzi kupewa chanjo homa ya ini Dar
Wanafunzi wa shule zote za msingi na sekondari mkoani Dar es Salaam, wanatarajiwa kupewa chanjo ya maambukizi ya Homa ya Ini ‘Hepatitis B’, kama njia mbadala ya kukabiliana na kasi ya maambukizi ya ugonjwa huo nchini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg3QVW6hei3xbiZdzdAR5njl-upsmufFVTHCBC0FZ5jResoNOt5GDmp4kR4Z9rIwbCQUMxjQJ5wwRVRmKMFGEFef/ugonjwa.jpg?width=650)
GLOBAL KUIPINGA HOMA YA INI NCHI NZIMA
KAMPENI ya kutokomeza homa ya ini (Hepatitis B), iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, imewekewa wigo mpana wa kufika nchi nzima. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric Shigongo. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo, alimweleza mwandishi wetu kuwa kampeni hiyo imeanzishwa kwa nia ya dhati kabisa ya kumkomboa Mtanzania dhidi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania