Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dar yashika nafasi ya sita maambukizi ya VVU Afrika

Wakati kasi ya maambukizi mapya ya Ukimwi ikipungua nchini, tafiti zimebainisha Jiji la Dar es Salaam linashikilia nafasi ya sita miongoni mwa majiji yaliyoathirika zaidi barani Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yashika nafasi ya sita kwa wagonjwa wengi wa TB Afrika

Maambukizi ya Ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) yameendelea kushika kasi nchini ambapo Tanzania inatajwa kuwa ni nchi ya 22 duniani kwa kuwa na wagonjwa wengi wa TB huku ikishika nafasi ya sita kwa kuwa na wagonjwa wengi wa TB barani Afrika.

 

10 years ago

Dewji Blog

73% ya maambukizi ya VVU yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana — Mama Kikwete

IMG_1997

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa Sandton International Center uliofanyika mkutano wa wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza muda wake Mama Hinda Derby Itno.(PICHA NA JOHN LUKUWI).

Na Anna Nkinda – Johannesburg, Afrika ya Kusini

Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea  miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata...

 

11 years ago

Michuzi

MAAMBUKIZI YA VVU JIJINI DAR ES SALAAM YAPUNGUA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es salaam Bi. Terezia Mmbando (kulia) akitoa taarifa ya hali ya maambukizi ya VVU na Ukimwi katika jiji la Dar es salaam kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dkt. Fatma Mrisho alipotembelea maeneo mbalimbali ya jiji hilo kuangalia hatua zilizofikiwa katika kupambana na ugonjwa huo katika ziara yake ya siku nne. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi akitoa tathmini ya hali ya...

 

5 years ago

Michuzi

LICHA YA KUWA NA MAAMBUKIZI YA VVU KWA ASILIMIA 25.00, LESOTHO NI NCHI PEKEE AFRIKA AMBAYO HAIJAKUMBWA NA VIRUSI VYA CORONA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
HADI sasa Lesotho haijatangaza kisa cha maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) licha ya majirani zao Afrika kusini kuwa na kesi za Covid-19 zaidi ya elfu saba na vifo zaidi ya mia moja, pia Lesotho inakua nchi pekee kati nchi 54 barani Afrika ambayo haijaripoti maambukizi ya virusi hivyo ila nchi hiyo imeendelea kuchukua hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kufunga, mipaka, vyuo, shule pamoja na shughuli nyingine...

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana — Mama Kikwete

IMG_1997

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa Sandton International Center uliofanyika mkutano wa wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza muda wake Mama Hinda Derby Itno.(PICHA NA JOHN LUKUWI).

Na Anna Nkinda – Johannesburg, Afrika ya Kusini

Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea  miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata...

 

10 years ago

Michuzi

Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana - Mama Salma Kikwete

Asilimia 73 ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) yanayotokea  miongoni mwa vijana Barani Afrika huwapata wasichana  huku asilimia 15 ya vijana wote  ndiyo wanaotambua hadhi yao ya VVU na hivyo kusababisha  tatizo hilo kuendelea kuwa  kubwa.Hayo yamesemwa leo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwenye mkutano wa 15 wa Umoja wa wake wa Marais wa Afrika wa Kupambana na Ugonjwa wa Ukimwi (OAFLA) uliofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo Sandton Convention Centre mjini...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafungu ya Ukimwi yazidi kushuka, maambukizi mapya yashika kasi

Wakati watu watatu walipothibitika kuwa na maambukizi ya Ukimwi mwaka 1983, hakuna ambaye angeweza kutabiri kile ambacho kingeweza kutokea miaka michache baadaye.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam yaifunga Yanga yashika nafasi 2

Baada ya kuvuliwa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara,Azam FC hatimaye imekata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Afrika mwakani,

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yashika nafasi ya 100 Fifa

Wakati mkutano mkuu wa mwaka wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ukianza mjini Morogoro kesho, Tanzania imepanda kwenye ubora kulingana na viwango vipya vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani