Taarifa: Mjengwablog imerudi hewani saa kadhaa zilizopita
NDUGU ZANGU,
MJENGWABLOG SASA IKO HEWANI .
UNAWEZA KUITEMBELEA KUPITIA http://mjengwablog.com/
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Dec
TAARIFA: MJENGWABLOG IMERUDI HEWANI!
Ni saa kadhaa zilizopita. Tunawashukuru wote mliotutumia jumbe na kutupigia simu kuulizia kulikoni. Mmeonyesha kujali.
Tunaamini, kuna wengi pia ambao hawakupata nafasi ya kuulizia tatizo, lakini, kuwa wapo pamoja nasi,tunawashukuru sana.
Unaweza sasa kutembelea
http://mjengwablog.com
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1e4Jt7hjAtvhaeKEYeaOWDBtFxqOO5d5Yn8in1myW0KuFcP-kxv3At*I-FNPNY33B-7DXZtvuybBr4*5n2EoAu/images.jpg?width=534)
OH! OH! MJENGWABLOG HAIKO HEWANI....!
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s72-c/MJENGWA.jpg)
KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s1600/MJENGWA.jpg)
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QzNTlpUkBVc/VKGauEBFtkI/AAAAAAAG6fU/fAwl6bAdpfw/s72-c/2014-12-29%2B07.48.52.jpg)
AJALI YA LORI NYORORO IRINGA, LAFUNGA BARABARA KWA SAA KADHAA
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Marekani yashambulia Taliban kwa makombora saa kadhaa baada ya mkataba
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga wasajili nyota wawili …
Uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African usiku wa December 15 tukiwa tunaelekea kufunga dirisha la usajili imetangaza kukamilisha usajili wa nyota wawili. Yanga ambao walithibitisha kumtema mchezaji wa kimataifa wa Brazil aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Andry Coutinho wametangaza kusajili wachezaji wawili. Yanga wamethibtisha kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City na baadae Mwadui FC Paul […]
The post Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rhCYkdJHntc/VFNVQ1PJ_KI/AAAAAAAGuW4/DbtYYYCNJHg/s72-c/DSC_0002.jpg)
news alert: Gadner G. Habash atinga EFM, kuanza kusikika hewani Jumatatu saa tisa alasiri