OH! OH! MJENGWABLOG HAIKO HEWANI....!
![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1e4Jt7hjAtvhaeKEYeaOWDBtFxqOO5d5Yn8in1myW0KuFcP-kxv3At*I-FNPNY33B-7DXZtvuybBr4*5n2EoAu/images.jpg?width=534)
Mwenyekiti Mtendaji, Maggid Mjengwa. Ndugu zangu, Tunasikitika kuwajulisha kuwa mtandao wenu wa kihabari, picha na mijadala mliouzoea wa Mjengwablog.com hauko hewani tangu saa kumi na mbili alfajiri ya leo. Kuna tatizo la kiufundi lililo nje ya uwezo wetu. Jitihada zinafanyika kuhakikisha kuwa Mjengwablog.com inarudi hewani ndani ya saa tatu zijazo. Tunawaomba radhi kwa usumbufu. Maggid Mjengwa, Mwenyekiti...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s72-c/MJENGWA.jpg)
KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s1600/MJENGWA.jpg)
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...
10 years ago
Michuzi13 Dec
TAARIFA: MJENGWABLOG IMERUDI HEWANI!
Ni saa kadhaa zilizopita. Tunawashukuru wote mliotutumia jumbe na kutupigia simu kuulizia kulikoni. Mmeonyesha kujali.
Tunaamini, kuna wengi pia ambao hawakupata nafasi ya kuulizia tatizo, lakini, kuwa wapo pamoja nasi,tunawashukuru sana.
Unaweza sasa kutembelea
http://mjengwablog.com
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Taarifa: Mjengwablog imerudi hewani saa kadhaa zilizopita
NDUGU ZANGU,
MJENGWABLOG SASA IKO HEWANI .
UNAWEZA KUITEMBELEA KUPITIA http://mjengwablog.com/
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI.
9 years ago
StarTV02 Nov
Kocha wa kagera Suger akiri timu haiko sawa.
Baada ya kufungwa bao mbili kwa sifuri na mabingwa watetezi Timu ya Yanga,Kocha wa Kagera Sugar,Mohamed Richard maarufu kwa jina la Adolph,amesema timu yake ina matatizo.
Kocha huyo aliyeiongoza kwa michezo mitatu,tangu kuondoka kwa Kocha aliyekuwa akiifundisha,Mbwana Makata,amesema kuna kukosa umakini katika timu mambo ambayo atayarekebisha.
Kagera ilipoteza mchezo wake na Yanga ambapo ilichapwa magoli mawili kwa bila mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Mwinyi mjini Tabora ambapo goli la...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/0JfFmbbSYMg/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar21 Oct
Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani?
. Natatizwa sana kuona Serikali ya KIkwete ikijiimarisha “kiulinzi” kupitia Jeshi, Polisi na hata Usalama wa Taifa eti kudhibiti na kuzuia machafuko wakati wa uchaguzi mkuu. Serikali imeweka majesho yote kwenye Red alert, polisi wamekabidhiwa magari […]
The post Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
VIDEO: Chadema Yamvaa Bulembo Aliyesema CCM Haiko Tayari Kukabidhi IKULU Kwa Wapinzani
Sunday, September 20, 2015 KAULI ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo kwamba “CCM haitafanya makosa kukabidhi Ikulu kwa wapinzani” imezua mjadala. Bulembo alitoa kauli hiyo kwenye mkutano wa kampeni […]
The post VIDEO: Chadema Yamvaa Bulembo Aliyesema CCM Haiko Tayari Kukabidhi IKULU Kwa Wapinzani appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PsC6b_tuMM8/VoY69zU0W8I/AAAAAAAIPqU/C08q_Xkcvt4/s72-c/61b5ef84-5523-4db3-b106-da22d25c8dae.jpeg)
Salamu Za Mwaka Mpya Kutoka Mjengwablog
![](http://2.bp.blogspot.com/-PsC6b_tuMM8/VoY69zU0W8I/AAAAAAAIPqU/C08q_Xkcvt4/s1600/61b5ef84-5523-4db3-b106-da22d25c8dae.jpeg)
Imekuwa ni utamaduni wangu kutuma salamu za Mwaka Mpya kwa wajumbe wangu wa Mjengwablog, marafiki zangu kwenye FB na wengine walio ndani na nje ya mitandao ya kijamii.Nimefanya hivyo tangu mwaka 2006 ilipoanzishwa Mjengwablog. Na mwaka huu naendeleza utamaduni huo.Ndugu zangu,
Naandika salamu hizi nikiwa hapa Iringa, na nikiwa na mambo mawili ya kuwaeleza; Mosi, napenda kuwahakikishia kuwa Mjengwablog/KwanzaJamii itaingia mwaka mpya wa 2016 na kasi zaidi ya mwaka jana. Tutazidisha...