KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s72-c/MJENGWA.jpg)
NDUGU ZANGU,
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Dec
TAARIFA: MJENGWABLOG IMERUDI HEWANI!
Ni saa kadhaa zilizopita. Tunawashukuru wote mliotutumia jumbe na kutupigia simu kuulizia kulikoni. Mmeonyesha kujali.
Tunaamini, kuna wengi pia ambao hawakupata nafasi ya kuulizia tatizo, lakini, kuwa wapo pamoja nasi,tunawashukuru sana.
Unaweza sasa kutembelea
http://mjengwablog.com
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1e4Jt7hjAtvhaeKEYeaOWDBtFxqOO5d5Yn8in1myW0KuFcP-kxv3At*I-FNPNY33B-7DXZtvuybBr4*5n2EoAu/images.jpg?width=534)
OH! OH! MJENGWABLOG HAIKO HEWANI....!
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Taarifa: Mjengwablog imerudi hewani saa kadhaa zilizopita
NDUGU ZANGU,
MJENGWABLOG SASA IKO HEWANI .
UNAWEZA KUITEMBELEA KUPITIA http://mjengwablog.com/
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI.
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--DjwadCaWmQ/VcmHTmASqcI/AAAAAAABTdc/wrZ7VFCtLkE/s72-c/modewjiblog%2Blogo.jpg)
MODEWJI BLOG INAOMBA RADHI KWA KUTOKUWA HEWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/--DjwadCaWmQ/VcmHTmASqcI/AAAAAAABTdc/wrZ7VFCtLkE/s640/modewjiblog%2Blogo.jpg)
Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii kwa taarifa zaidihttps://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo yako nje ya uwezo wetu.
Modewjiblog itarudi hewani hivi punde, samahani kwa usumbufu wowote ule uliojitokeza, tunahitaji ushirikiano wenu zaidi.
There has been an undergoing DDOS attach on the server https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack. We...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hZUZN67AXZ8/XsbIVHQOw0I/AAAAAAALrLk/CsD5sZJUtfsWTJ1wspqXTbBoeem1wajXwCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B9.25.22%2BPM.png)
KUNRADHI NDUGU SIA LYIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-hZUZN67AXZ8/XsbIVHQOw0I/AAAAAAALrLk/CsD5sZJUtfsWTJ1wspqXTbBoeem1wajXwCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B9.25.22%2BPM.png)
Mnamo tarehe 30/04/2020 tulichapisha habari kuhusu sakata la wafanyakazi wa Impala Group na Hoteli ya Naura iliyopo Arusha ambapo mwakilishi wetu huko alileta habari kwamba alimhoji Ndugu Siya Lyimo, jambo ambalo imeonekana siyo kweli na kuleta usumbufu kwa Ndugu Sia Lyimo na kuhatarisha kumchonganisha na viongozi wa mkoa na wilaya ya Arusha.
Tunaomba radhi kwa ndugu Sia Lyimo kwa taarifa hiyo ambayo tunakukiri kwamba inaonesha hakuwahi kuhojiwa na mwakilishi wetu huyo; na ambaye kwa kosa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7PAaOFF2sJKOyHknq920nArj4I116NdvhYuxCAmElQGfmXR6EH-j*lj5hfzukbH*GJcJJYXEQIGkKhZBCfg1IFTL-H2DmeYy/IMG20140718WA0003.jpg)
KUNRADHI; HOTELI YA NAURI HAIJAUNGUA, NI UZUSHI!
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ekxGjDgOlME/U81UQo1ub4I/AAAAAAAF4fE/VfmH8acmyuA/s72-c/63a4c18aba35870d3d4177324b654bae.jpg)
Breaking newzzzz: viungo vya binadamu vyakamatwa dar es salaam leo (kunradhi kwa picha za kuogofya)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ekxGjDgOlME/U81UQo1ub4I/AAAAAAAF4fE/VfmH8acmyuA/s1600/63a4c18aba35870d3d4177324b654bae.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fkuQTL4reZw/U81UQ-vyvEI/AAAAAAAF4fM/71P7Op0aU7M/s1600/ad41c51ed504857ec7b80c1988a66e05.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N0gk4-Ix2f0/U81UQwBNruI/AAAAAAAF4fI/5pk7pAIUTXY/s1600/bcd5e1d9f3f7eb4b7fd2d6d0073ffa09.jpg)