Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUNRADHI NDUGU SIA LYIMO


Mnamo tarehe 30/04/2020 tulichapisha habari  kuhusu sakata la wafanyakazi wa Impala Group na Hoteli ya Naura iliyopo Arusha ambapo mwakilishi wetu huko alileta habari kwamba alimhoji Ndugu Siya Lyimo, jambo ambalo imeonekana siyo kweli na kuleta usumbufu kwa Ndugu Sia Lyimo na kuhatarisha kumchonganisha na viongozi wa mkoa na wilaya ya Arusha.
Tunaomba radhi kwa ndugu Sia Lyimo kwa taarifa hiyo ambayo tunakukiri kwamba inaonesha hakuwahi kuhojiwa na mwakilishi wetu huyo; na ambaye kwa kosa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI

NDUGU ZANGU,
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...

 

11 years ago

GPL

KUNRADHI; HOTELI YA NAURI HAIJAUNGUA, NI UZUSHI!

Jengo likiungua na kudaiwa ndiyo la Hoteli ya Naura ya Arusha Jengo halisi la Naura Spring Hotel na kama lilivyo hada sasa. Habari na picha zilizosambaa jioni hii kuwa Hoteli ya Naura Spring ya jijini Arusha inaungua ni za uzushi. Akiongea na wanahabari jioni hii, Meneja wa Hoteli hiyo iliyodaiwa…

 

10 years ago

Michuzi

NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.

 

11 years ago

Michuzi

Breaking newzzzz: viungo vya binadamu vyakamatwa dar es salaam leo (kunradhi kwa picha za kuogofya)

 Gari likiwa limebeba mifuko yenye viuongo hivyo, ambapo Jeshi la Polisi wilaya ya Kinondoni limesema kuwa limeanza uchunguzi wa kina baada ya kukakamata viungo mbalimbali vinavyodhaniwa kuwa ni vya binadamu katika  mifuko ya plastiki katika machimbo ya kokoto sehemu za Mbweni Mpiji, Magohe, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Sehemu ya mifuko ya plastiki iliyokutwa na viungo hivyo ambavyo inasemekana ni pamoja na mikono, miguu, ngozi na sehemu nyingine za miili

 

11 years ago

Mwananchi

Lyimo: Tanzania hatuthamini michezo

Nilianza kucheza gofu zamani hadi leo naupenda mchezo huu, lakini nilipokuwa mdogo nilicheza mchezo wa squash. Hata hivyo baada ya kuona umepoteza malengo nikajikita kwenye gofu,” ndivyo anavyoanza kusimulia mchezaji na mwanachama wa klabu ya gofu ya Gymkhana ya Arusha, Mzee Perfect Lyimo.

 

9 years ago

TheCitizen

Lyimo misses one vote in his presidential bid

Vunjo. He went campaigning in several regions asking people to vote for him. Some will vote for him today, but he will not be able to vote for himself.

 

9 years ago

TheCitizen

Tanzanians shouldn't vote on a Sunday: Lyimo

“Friday, Saturday and Sunday should be omitted by the National Electoral Commission to allow Tanzanians the chance to worship for the peaceful elections. Hence Monday will be convenient for all voters to exercise they civic right,” says the politician.

 

9 years ago

Mwananchi

Lyimo-Siwezi kutoa ahadi zisizotekelezeka

Mgombea wa urais kwa tiketi ya TLP, Macmillan Lyimo amesema hawezi kutoa ahadi zisizotekelezeka kama wafanyavyo wanasiasa wengine, badala yake atakuja na mipango mahususi ya kupambana na umasikini.

 

10 years ago

Habarileo

Jaji Lyimo msuluhishi migogoro ya bima

JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Chande amemwapisha Jaji mstaafu Vincent Lyimo kuwa msuluhishi mkuu wa migogoro ya bima nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani