Lyimo-Siwezi kutoa ahadi zisizotekelezeka
Mgombea wa urais kwa tiketi ya TLP, Macmillan Lyimo amesema hawezi kutoa ahadi zisizotekelezeka kama wafanyavyo wanasiasa wengine, badala yake atakuja na mipango mahususi ya kupambana na umasikini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Vital Kamerhe: Ufisadi, ahadi zisizotekelezeka na uchaguzi 2023
Ni miezi michache tu baada ya kufanyika kwa uchaguzi uliomuweka madarakani Rais Felix Tshisekedi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), lakini sasa mshirika wake mkuu Vital Kamerhe yuko gerezani baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa tuhuma za ufisadi.
5 years ago
MichuziRC Wangabo atimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutembelea kwa mlemavu
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutemebelea kwa Mlemavu Azla Sikazwe Mkazi wa mtaa wa Zimamoto, Kata ya Izia, Wilayani Sumbawanga baada ya mama huyo kumuomba Mkuu wa Mkoa huo msaada wa magongo hayo wakati wa kongamano la watu wenye ulemavu lililofanyika katika Manispaa ya Sumbawanga mwezi wa pili Mwaka huu.
Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...
Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?
Ama kweli, mwaka wa uchaguzi ni mwaka wa uchafuzi. Nimesema mara nyingi kwamba wanasiasa huwa wanajiona miungu kabisa. Wakiona kitu, wanasema, na iwe, ikawa jioni, ikawa asubuhi siku ya kwanza. Ni sawa. Hasa katika mwaka wa uchafuzi. Hawasubiri hadi hata asubuhi, ikawa jioni ikawa usiku mambo yote yatakuwa sawa na mbinguni.
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu
Kuna msemo unaosema “miluzi mingi humpoteza mbwaâ€. Kwamba mbwa anayeongozwa na miluzi kufanya jambo fulani, anaweza kushindwa kutekeleza maelekezo ya bosi wake iwapo miluzi itazidishwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hZUZN67AXZ8/XsbIVHQOw0I/AAAAAAALrLk/CsD5sZJUtfsWTJ1wspqXTbBoeem1wajXwCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B9.25.22%2BPM.png)
KUNRADHI NDUGU SIA LYIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-hZUZN67AXZ8/XsbIVHQOw0I/AAAAAAALrLk/CsD5sZJUtfsWTJ1wspqXTbBoeem1wajXwCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B9.25.22%2BPM.png)
Mnamo tarehe 30/04/2020 tulichapisha habari kuhusu sakata la wafanyakazi wa Impala Group na Hoteli ya Naura iliyopo Arusha ambapo mwakilishi wetu huko alileta habari kwamba alimhoji Ndugu Siya Lyimo, jambo ambalo imeonekana siyo kweli na kuleta usumbufu kwa Ndugu Sia Lyimo na kuhatarisha kumchonganisha na viongozi wa mkoa na wilaya ya Arusha.
Tunaomba radhi kwa ndugu Sia Lyimo kwa taarifa hiyo ambayo tunakukiri kwamba inaonesha hakuwahi kuhojiwa na mwakilishi wetu huyo; na ambaye kwa kosa...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Lyimo: Tanzania hatuthamini michezo
Nilianza kucheza gofu zamani hadi leo naupenda mchezo huu, lakini nilipokuwa mdogo nilicheza mchezo wa squash. Hata hivyo baada ya kuona umepoteza malengo nikajikita kwenye gofu,†ndivyo anavyoanza kusimulia mchezaji na mwanachama wa klabu ya gofu ya Gymkhana ya Arusha, Mzee Perfect Lyimo.
9 years ago
TheCitizen25 Oct
Lyimo misses one vote in his presidential bid
Vunjo. He went campaigning in several regions asking people to vote for him. Some will vote for him today, but he will not be able to vote for himself.
10 years ago
Habarileo19 Dec
Jaji Lyimo msuluhishi migogoro ya bima
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Chande amemwapisha Jaji mstaafu Vincent Lyimo kuwa msuluhishi mkuu wa migogoro ya bima nchini.
9 years ago
TheCitizen16 Sep
Tanzanians shouldn't vote on a Sunday: Lyimo
“Friday, Saturday and Sunday should be omitted by the National Electoral Commission to allow Tanzanians the chance to worship for the peaceful elections. Hence Monday will be convenient for all voters to exercise they civic right,†says the politician.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania