Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?

Ama kweli, mwaka wa uchaguzi ni mwaka wa uchafuzi. Nimesema mara nyingi kwamba wanasiasa huwa wanajiona miungu kabisa. Wakiona kitu, wanasema, na iwe, ikawa jioni, ikawa asubuhi siku ya kwanza. Ni sawa. Hasa katika mwaka wa uchafuzi. Hawasubiri hadi hata asubuhi, ikawa jioni ikawa usiku mambo yote yatakuwa sawa na mbinguni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu

Kuna msemo unaosema “miluzi mingi humpoteza mbwa”. Kwamba mbwa anayeongozwa na miluzi kufanya jambo fulani, anaweza kushindwa kutekeleza maelekezo ya bosi wake iwapo miluzi itazidishwa.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Kala Jeremiah f/ Roma — Nchi ya Ahadi

Kala Jeremiah na Roma wameungana kutengeneza ngoma mpya ‘Nchi ya Ahadi’ iliyotoka leo. Kwenye wimbo huo Kala amechukua nafasi ya mwananchi anayemuuliza maswali magumu Roma ambaye ni mwanasiasa anayetafuta nafasi nyingine ya uongozi. Ni wimbo mzuri hasa kwa kipindi hiki. Usikilize.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ahadi za wanasiasa zingekuwa kweli, nchi ingekuwa paradise

KAMA ahadi zote wanasiasa wanazotoa kila mara kwenye majukwaa, hasa kipindi hiki cha kampeni za u

Joseph Mihangwa

 

11 years ago

GPL

KANISA LA NCHI YA AHADI LAWAOMBEA BONGO MUVI KUEPUSHA VIFO

Zulia jekundu (red carpet) lililokuwepo kanisani. Moja ya mabango yaliyokuwa kanisani. Mwimbaji Bahati Bukuku akiwa katika red carpet.…

 

10 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah asema ‘Nchi ya Ahadi’ ni wimbo unaotakiwa kusikilizwa na kila Mtanzania

Rapper Kala Jeremiah anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Nchi ya Ahadi’ unaopeleka ujumbe kwa Rais, Mawaziri, Wabunge na kwa wananchi wote wa Tanzania. Kala ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo aliomshirikisha Roma Mkatoliki ni wimbo ambao kila mtanzania anahitaji kuusikiliza ili kujua hatma yake. “Idea ilikuja kwa kuona mambo mbalimbali na kuangalia hali ya maisha ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani