Kala Jeremiah asema ‘Nchi ya Ahadi’ ni wimbo unaotakiwa kusikilizwa na kila Mtanzania
Rapper Kala Jeremiah anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Nchi ya Ahadi’ unaopeleka ujumbe kwa Rais, Mawaziri, Wabunge na kwa wananchi wote wa Tanzania. Kala ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo aliomshirikisha Roma Mkatoliki ni wimbo ambao kila mtanzania anahitaji kuusikiliza ili kujua hatma yake. “Idea ilikuja kwa kuona mambo mbalimbali na kuangalia hali ya maisha ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3F4dwUaVV28/default.jpg)
10 years ago
Bongo518 Mar
New Music: Kala Jeremiah f/ Roma — Nchi ya Ahadi
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/--DY2YLVzWP4/VYbcO1GHirI/AAAAAAAACKU/dBgNG6CBe6E/s72-c/leoooo.jpg)
10 years ago
GPL20 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3F4dwUaVV28/default.jpg)
10 years ago
GPLWAKALI WA HIP HOP ROMA MKATOLIKI NA KALA JEREMIAH WAILETA 'NCHI YA AHADI' GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
Bongo503 Nov
Kala Jeremiah: Wimbo nitakaofungia mwaka ndio wimbo wangu wa kwanza mtu akisikiliza analia
9 years ago
Bongo527 Nov
Kala Jeremiah kuachia wimbo mpya mwezi ujao, pia aeleza sababu za kumtumia director Pablo kwenye video nyingi
![Kala](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Kala-300x194.jpg)
Baada ya kipindi cha kampeni kupita Kala Jeremiah pia yuko kwenye foleni ya wasanii wanaotaka kutoa kazi mpya za kufungua mwaka.
Kala ameiambia Bongo5 kuwa tayari video ya kazi mpya imekamilika na anatarajia kuitoa hivi karibuni.
“Video ya wimbo mpya na nimeshoot na PABLO ila nisingependa kwanza kutaja jina la wimbo, lakini mwezi wa 12 lazima itoke”.
Video nne zilizopita za Kala (Nchi ya Ahadi, Usikate Tamaa, Simu Ya Mwisho, Wale Wale) zote zimeongozwa na Pablo, kuhusu kwanini ameamua...