Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kala Jeremiah asema ‘Nchi ya Ahadi’ ni wimbo unaotakiwa kusikilizwa na kila Mtanzania

Rapper Kala Jeremiah anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Nchi ya Ahadi’ unaopeleka ujumbe kwa Rais, Mawaziri, Wabunge na kwa wananchi wote wa Tanzania. Kala ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo aliomshirikisha Roma Mkatoliki ni wimbo ambao kila mtanzania anahitaji kuusikiliza ili kujua hatma yake. “Idea ilikuja kwa kuona mambo mbalimbali na kuangalia hali ya maisha ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Kala Jeremiah f/ Roma — Nchi ya Ahadi

Kala Jeremiah na Roma wameungana kutengeneza ngoma mpya ‘Nchi ya Ahadi’ iliyotoka leo. Kwenye wimbo huo Kala amechukua nafasi ya mwananchi anayemuuliza maswali magumu Roma ambaye ni mwanasiasa anayetafuta nafasi nyingine ya uongozi. Ni wimbo mzuri hasa kwa kipindi hiki. Usikilize.

 

10 years ago

GPL

WAKALI WA HIP HOP ROMA MKATOLIKI NA KALA JEREMIAH WAILETA 'NCHI YA AHADI' GLOBAL TV ONLINE

Wanamuziki wa Hip hop, Roma Mkatoliki na Kala Jeremiah wakiwa katika studio za Global TV Online leo. Roma Mkatoliki (wa kwanza kulia) akijibu swali na mtangazaji wa Global TV Online, Mou Alfa (kushoto). Kati ni Kala Jeremiah. Mou Alfa (kushoto) akiwahoji wanamuziki Kala na Roma ndani ya studio za Global TV…

 

10 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah: Wimbo nitakaofungia mwaka ndio wimbo wangu wa kwanza mtu akisikiliza analia

Kala Jeremiah amesema anatarajia kuachia wimbo mpya wa kufungia mwaka kabla mwezi huu haujaisha. “Mwezi wa 11 hautaisha Kala Jeremiah atadrop kitu ambacho naamini kabisa kila Mtanzania kitamgusa..kwa namna moja au nyingine kila mmoja unamhusu huu wimbo kwahiyo sitaki sana akuongelea sasa hivi “ Amesema Kala kupitia Power Jams ya EA Radio. Akiuzungumzia wimbo huo, […]

 

9 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah kuachia wimbo mpya mwezi ujao, pia aeleza sababu za kumtumia director Pablo kwenye video nyingi

Kala

Baada ya kipindi cha kampeni kupita Kala Jeremiah pia yuko kwenye foleni ya wasanii wanaotaka kutoa kazi mpya za kufungua mwaka.

Kala

Kala ameiambia Bongo5 kuwa tayari video ya kazi mpya imekamilika na anatarajia kuitoa hivi karibuni.

“Video ya wimbo mpya na nimeshoot na PABLO ila nisingependa kwanza kutaja jina la wimbo, lakini mwezi wa 12 lazima itoke”.

Video nne zilizopita za Kala (Nchi ya Ahadi, Usikate Tamaa, Simu Ya Mwisho, Wale Wale) zote zimeongozwa na Pablo, kuhusu kwanini ameamua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani