Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vital Kamerhe: Ufisadi, ahadi zisizotekelezeka na uchaguzi 2023

Ni miezi michache tu baada ya kufanyika kwa uchaguzi uliomuweka madarakani Rais Felix Tshisekedi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), lakini sasa mshirika wake mkuu Vital Kamerhe yuko gerezani baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa tuhuma za ufisadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lyimo-Siwezi kutoa ahadi zisizotekelezeka

Mgombea wa urais kwa tiketi ya TLP, Macmillan Lyimo amesema hawezi kutoa ahadi zisizotekelezeka kama wafanyavyo wanasiasa wengine, badala yake atakuja na mipango mahususi ya kupambana na umasikini.

 

5 years ago

BBC

Vital Kamerhe: DRC president's chief of staff found guilty of corruption

Vital Kamerhe was sentenced to 20 years hard labour after a trial marked by the murder of a judge.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vital Kamerhe: Mshirika mkuu wa serikali ya rais Felix Tshisekedi nchini DR Congo amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Mshirika mkuu wa rais Felix Tshisekedi nchini Jamhuri ya Kidemokrasi aya Congo Vital Kamerhe amehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa ufisadi na wizi wa takriban dola milioni 50 za Marekani.

 

9 years ago

Mwananchi

Ahadi za CCM Uchaguzi Mkuu

Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeipua Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2015-2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulkikia katika miaka mitano ijayo, ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu ya makosa hayo.

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa watumia Bunge kunadi ahadi za uchaguzi

CECILIA PARESONa Khamis Mkotya, Dodoma
KAMBI ya Upinzani bungeni imekuja na mbinu mpya baada ya kuamua kulitumia Bunge kutangaza ahadi mbalimbali iwapo Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) utashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Miaka iliyopita wakati wa Bunge la Bajeti, kambi hiyo imekuwa ikiishauri Serikali kuhusu jinsi ya kuongeza mapato, lakini safari hii hotuba za upinzani zimejikita katika kutoa ahadi.
Hali hiyo ilijidhihirisha jana wakati Msemaji wa Kambi ya Upinzani bungeni, Secilia...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

‘Presha’ ya uchaguzi, ahadi zawatorosha wabunge Dodoma

Baadhi ya wabunge wamesema kukosekana bungeni kwa wenzao wanaofikia 200 hata kuhesabiwa ni watoro, kumetokana na wengi wao kutokamilisha ahadi kwa wapigakura wao walizotoa mwaka 2010, hivyo kulazimika kukimbilia majimboni ili kujaribu kuzikamilisha.

 

9 years ago

Vijimambo

HIZI NDIZO AHADI ZA CCM UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015



 Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeipua Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2015-2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulkikia katika miaka mitano ijayo, ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu ya makosa hayo.
Ilani hiyo, iliyoandaliwa na makada wake 32 wakiongozwa na Stephen Wasira, imeanisha jinsi chama hicho kikongwe kilivyotekeleza baadhi ya ahadi zake katika ilani ya mwaka 2010-2015 na kutaja ahadi...

 

10 years ago

Mwananchi

SALAMU KUTOKA KWA MHARIRI :Ahadi yetu uchaguzi wa 2015

Ndani ya siku 131 kuanzia leo, Watanzania watakuwa wameingia katika shughuli ya kutekeleza wajibu wao kikatiba wa kuchagua madiwani, wabunge na muhimu sana, Rais wa tano tangu nchi yetu ya Tanzania ipate uhuru miaka 54 iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani