Vital Kamerhe: Ufisadi, ahadi zisizotekelezeka na uchaguzi 2023
Ni miezi michache tu baada ya kufanyika kwa uchaguzi uliomuweka madarakani Rais Felix Tshisekedi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), lakini sasa mshirika wake mkuu Vital Kamerhe yuko gerezani baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa tuhuma za ufisadi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi13 Sep
Lyimo-Siwezi kutoa ahadi zisizotekelezeka
5 years ago
BBC20 Jun
Vital Kamerhe: DRC president's chief of staff found guilty of corruption
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Vital Kamerhe: Mshirika mkuu wa serikali ya rais Felix Tshisekedi nchini DR Congo amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Ahadi za CCM Uchaguzi Mkuu
10 years ago
Mtanzania19 May
Ukawa watumia Bunge kunadi ahadi za uchaguzi
Na Khamis Mkotya, Dodoma
KAMBI ya Upinzani bungeni imekuja na mbinu mpya baada ya kuamua kulitumia Bunge kutangaza ahadi mbalimbali iwapo Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) utashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Miaka iliyopita wakati wa Bunge la Bajeti, kambi hiyo imekuwa ikiishauri Serikali kuhusu jinsi ya kuongeza mapato, lakini safari hii hotuba za upinzani zimejikita katika kutoa ahadi.
Hali hiyo ilijidhihirisha jana wakati Msemaji wa Kambi ya Upinzani bungeni, Secilia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-edhmvtQCR-0/VaYyWQkCHiI/AAAAAAAHp3c/-I1bu2rhqEI/s72-c/20150715031321.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Mar
‘Presha’ ya uchaguzi, ahadi zawatorosha wabunge Dodoma
9 years ago
VijimamboHIZI NDIZO AHADI ZA CCM UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015
Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeipua Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2015-2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulkikia katika miaka mitano ijayo, ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu ya makosa hayo.
Ilani hiyo, iliyoandaliwa na makada wake 32 wakiongozwa na Stephen Wasira, imeanisha jinsi chama hicho kikongwe kilivyotekeleza baadhi ya ahadi zake katika ilani ya mwaka 2010-2015 na kutaja ahadi...
10 years ago
Mwananchi17 Jun
SALAMU KUTOKA KWA MHARIRI :Ahadi yetu uchaguzi wa 2015