Ukawa watumia Bunge kunadi ahadi za uchaguzi
Na Khamis Mkotya, Dodoma
KAMBI ya Upinzani bungeni imekuja na mbinu mpya baada ya kuamua kulitumia Bunge kutangaza ahadi mbalimbali iwapo Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) utashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Miaka iliyopita wakati wa Bunge la Bajeti, kambi hiyo imekuwa ikiishauri Serikali kuhusu jinsi ya kuongeza mapato, lakini safari hii hotuba za upinzani zimejikita katika kutoa ahadi.
Hali hiyo ilijidhihirisha jana wakati Msemaji wa Kambi ya Upinzani bungeni, Secilia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Ukawa watumia kauli za Kinana kuichongea CCM kwa wananchi
Na Elias Msuya, Tanga
ZIARA ya Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, imeingia mkoani Tanga huku viongozi walio kwenye msafara wake wakiwakaanga wagombea ubunge wa CCM kwa kauli ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana aliyesema chama chake kimejaa wezi, wanafiki na majambazi.
Kinana alitamka maneno hayo alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara mjini Moshi mkoani Kilimanjaro...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
CCM watumia Bunge kumzima Warioba
BAADA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukwama kumdhibiti Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aondoe pendekezo la muundo wa Muungano wa Serikali Tatu kwenye Rasimu ya...
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Ahadi za Ukawa zaitikisa Serikali
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Ahadi za CCM Uchaguzi Mkuu
11 years ago
Habarileo30 Mar
Ukawa yapata Ukawa-nje ya Bunge
BAADA ya kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ndani ya Bunge Maalum la Katiba, vyama vya siasa vya upinzani ,vimeunda umoja wa aina hiyo nje ya bunge hilo (UKAWA- nje) na kupanga kuwashawishi wananchi nchi nzima kudai Katiba yenye kujali maslahi yao.
10 years ago
Mwananchi30 Mar
‘Presha’ ya uchaguzi, ahadi zawatorosha wabunge Dodoma
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-edhmvtQCR-0/VaYyWQkCHiI/AAAAAAAHp3c/-I1bu2rhqEI/s72-c/20150715031321.jpg)
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Vital Kamerhe: Ufisadi, ahadi zisizotekelezeka na uchaguzi 2023
10 years ago
Mwananchi17 Jun
SALAMU KUTOKA KWA MHARIRI :Ahadi yetu uchaguzi wa 2015