CCM watumia Bunge kumzima Warioba
BAADA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukwama kumdhibiti Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aondoe pendekezo la muundo wa Muungano wa Serikali Tatu kwenye Rasimu ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Mkakati wa kumzima Lowassa CCM wavuja
MKAKATI wa kuzima ndoto za Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa asigombee urais mwaka 2015 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), umevuja, Tanzania Daima Jumatano limedokezwa. Kwa mujibu wa kielelezo cha waraka...
10 years ago
Mtanzania19 May
Ukawa watumia Bunge kunadi ahadi za uchaguzi
Na Khamis Mkotya, Dodoma
KAMBI ya Upinzani bungeni imekuja na mbinu mpya baada ya kuamua kulitumia Bunge kutangaza ahadi mbalimbali iwapo Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) utashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Miaka iliyopita wakati wa Bunge la Bajeti, kambi hiyo imekuwa ikiishauri Serikali kuhusu jinsi ya kuongeza mapato, lakini safari hii hotuba za upinzani zimejikita katika kutoa ahadi.
Hali hiyo ilijidhihirisha jana wakati Msemaji wa Kambi ya Upinzani bungeni, Secilia...
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Ukawa watumia kauli za Kinana kuichongea CCM kwa wananchi
Na Elias Msuya, Tanga
ZIARA ya Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, imeingia mkoani Tanga huku viongozi walio kwenye msafara wake wakiwakaanga wagombea ubunge wa CCM kwa kauli ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana aliyesema chama chake kimejaa wezi, wanafiki na majambazi.
Kinana alitamka maneno hayo alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara mjini Moshi mkoani Kilimanjaro...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Bunge kuwajadili JK, Warioba
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameridhia maombi ya wajumbe wa Bunge hilo ya kutaka hotuba za Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Jaji Warioba ateka Bunge
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Jaji Warioba: Bunge lisitishwe
![Jaji Joseph Warioba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jaji-Warioba.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema ni vyema Bunge Maalumu la Katiba likasitishwa kwani Katiba bora haiwezi kupatikana kwa muda wa wiki mbili.
Kauli hiyo ya Jaji Warioba imekuja siku moja baada ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kumtaka Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, kulisitisha, huku mwenyewe akisema litaendelea na hadi kufikia Oktoba 4 Katiba inayopendekezwa...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Jaji Warioba kuhutubia Bunge
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Bunge lajigeuza Tume ya Warioba
11 years ago
Mwananchi07 May
Warioba ahimiza maridhiano Bunge la Katiba