Bunge kuwajadili JK, Warioba
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameridhia maombi ya wajumbe wa Bunge hilo ya kutaka hotuba za Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Jaji Warioba ateka Bunge
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Bunge lajigeuza Tume ya Warioba
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Jaji Warioba kuhutubia Bunge
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Jaji Warioba: Bunge lisitishwe
![Jaji Joseph Warioba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jaji-Warioba.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema ni vyema Bunge Maalumu la Katiba likasitishwa kwani Katiba bora haiwezi kupatikana kwa muda wa wiki mbili.
Kauli hiyo ya Jaji Warioba imekuja siku moja baada ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kumtaka Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, kulisitisha, huku mwenyewe akisema litaendelea na hadi kufikia Oktoba 4 Katiba inayopendekezwa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
CCM watumia Bunge kumzima Warioba
BAADA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukwama kumdhibiti Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aondoe pendekezo la muundo wa Muungano wa Serikali Tatu kwenye Rasimu ya...
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Korti: Bunge lizingatie rasimu ya Warioba
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuandika na kupitisha vipengele kwa kuzingatia rasimu iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji...
11 years ago
Habarileo12 Apr
Kamati ya Bunge yairarua Tume ya Warioba
WAJUMBE wengi wa Kamati Namba Moja ya Bunge hilo, wameona kuwa hatua ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, kupendekeza uwepo wa serikali tatu, imekiuka Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.
11 years ago
Mwananchi07 May
Warioba ahimiza maridhiano Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Ufafanuzi wa Warioba ‘wasia’ kwa Bunge la Katiba