Ufafanuzi wa Warioba ‘wasia’ kwa Bunge la Katiba
Tumesoma kwa umakini mkubwa taarifa ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ambayo inatoa ufafanuzi wa baadhi ya maeneo nyeti yaliyomo katika Rasimu ya Katiba ambayo itajadiliwa na Bunge la Katiba linalokutana mjini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuipatia nchi yetu Katiba Mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
11 years ago
Mwananchi07 May
Warioba ahimiza maridhiano Bunge la Katiba
11 years ago
Habarileo06 Aug
Wajumbe Bunge la Katiba waivaa Tume ya Warioba
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wamewajia juu waliokuwa Wajumbe wa Kamati ya Kukusanya Maoni ya Katiba wakidai kuwa kazi yao ilishaisha, hivyo kuendelea kujadili masuala kuhusu Rasimu ya Katiba si sahihi.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Nape atofautiana na Jaji Warioba Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Kwaheri Tume ya Warioba, karibu Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Warioba: Kazi ya Bunge la Katiba siyo kubadili Rasimu
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Bunge lachafuka, Warioba asimama bila kuwasilisha Rasimu ya Katiba