Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ahadi za Ukawa zaitikisa Serikali

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiendelea kushika kasi, ahadi za mgombea urais Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa zimeanza kuichanganya Serikali na jana Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta aliibuka na kudai mgombea huyo anaahidi mambo ambayo tayari yanatekelezwa na Serikali ya CCM.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ukawa watumia Bunge kunadi ahadi za uchaguzi

CECILIA PARESONa Khamis Mkotya, Dodoma
KAMBI ya Upinzani bungeni imekuja na mbinu mpya baada ya kuamua kulitumia Bunge kutangaza ahadi mbalimbali iwapo Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) utashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Miaka iliyopita wakati wa Bunge la Bajeti, kambi hiyo imekuwa ikiishauri Serikali kuhusu jinsi ya kuongeza mapato, lakini safari hii hotuba za upinzani zimejikita katika kutoa ahadi.
Hali hiyo ilijidhihirisha jana wakati Msemaji wa Kambi ya Upinzani bungeni, Secilia...

 

10 years ago

GPL

KURA ZA MAONI 2015: VURUGU ZAITIKISA NCHI

Issa Mnally na Makongoro OGING’ Zoezi la kura za maoni katika vyama mbalimbali vya siasa hususan Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchagua watakaopeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25, mwaka huu limezusha vurugu nchini nzima.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Dmp2R9

 

9 years ago

Mwananchi

Majaliwa: Serikali itatekeleza ahadi zote

Serikali ya Awamu ya Tano imesema itatekeleza ahadi zote zilizotolewa kwa wananchi wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu na kwamba watafanya hivyo kwa kutumia fedha zinazoendelea kukusanywa kwa kutumbua majipu na vyanzo vingine vya mapato.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kutekeleza ahadi za Mgimwa jimboni kwake

Wakati Rais Jakaya Kikwete jana akiongoza mamia ya wakazi wa Mkoa wa Iringa na mikoa ya jirani kwenye mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa, Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameahidi kuwa Serikali itatekeleza ahadi alizotoa jimboni kwake.

 

10 years ago

Raia Mwema

Serikali yaisaliti ahadi yake ya kutonunua mashangingi

BAJETI ya serikali iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, itakuwa na naki

Nizar Visram

 

10 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay aanza kutekeleza ahadi

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay, Zefrin Lubuva (kushoto) akikabidhi fedha kwa Katibu wa Shina la CCM Morogoro Store, Ramadhan Abdallah, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya kutunisha mfuko na kukihimarisha chama kuelekea kwenye uchaguzi mkuu 2015.Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Shina la CCM Morogoro Store,Majibu Joseph.

 

9 years ago

StarTV

Serikali yaombwa kuharakisha ahadi yake ya upanuzi wa barabara

Watumiaji wa Barabara ya Gerezani – Bendera tatu Dar es salaam wameiomba Serikali ya Tanzania na Japan kuharakisha upanuzi wa barabara hiyo na ule wa barabara ya juu katika eneo la Tazara ili kuwapunguzia kero ya muda mrefu ya msongamano wa magari.

Baada ya kuona maandalizi ya awali katika barabara ya gerezani kwa ajili ya kuanza ujenzi, baadhi ya watumiaji wa barabara hiyo wakazungumza na Star Tv

Wamesema kutokana na watu wengi kutumia barabara hiyo hususani wenye magari makubwa ambayo...

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yatakiwa kukiri kushindwa kutekeleza ahadi zake

rajab-mbarouk-april24-2013Na Debora Sanja, Dodoma

MBUNGE wa Ole, Rajab Mbarouk Mohamed (CUF), ameitaka Serikali kukiri kushindwa kutekeleza ahadi za Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa muda wa utekelezaji wake umekwisha.

Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, alisema kitendo cha Serikali kushindwa kukamilisha ahadi ya Kikwete ya kujenga barabara ya kilomita 2.5 ya Singano kwa Mkocho hadi Kivinje ni dalili ya kushindwa kwa Serikali hiyo.

“Kwanini Serikali hii ya CCM sasa isiwathibitishie wananchi kwamba imeshindwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatakiwa kutimiza ahadi za ujenzi wa zahanati kwa kila kata

DSC_0534

Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo kwa siku inatibu wagonjwa 50 na zaidi ikiwa na daktari mmoja huku wakazi wanaofuata huduma hiyo kutoka kata hiyo na ya jirani Soitosambu kutembea umbali mrefu kwa Kilometa 7-15 kupata huduma ya afya.(Picha Zainul Mzige wa MOblog)

Na Mwandishi wetu, Ngorongoro

Wakazi wa vijiji vya Ololosokwan, Soit-Sambu, Njoroi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani