Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay aanza kutekeleza ahadi

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay, Zefrin Lubuva (kushoto) akikabidhi fedha kwa Katibu wa Shina la CCM Morogoro Store, Ramadhan Abdallah, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya kutunisha mfuko na kukihimarisha chama kuelekea kwenye uchaguzi mkuu 2015.Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Shina la CCM Morogoro Store,Majibu Joseph.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

ZUNGU AANZA KUTEKELEZA AHADI ALIYOITOA WAKATI WA KAMPENI

  Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Zungu (CCM) (mwenye kofia) akimkabidhi nahodha wa timu ya Ferry Beach Boys, Selemani Ally 'Kaseja' nyaraka za  Pikipiki aina ya GSM ayowaahidi wakati wa Kampeni zake, jijini Dar es Salaam leo .(PICHA NA  KHAMISI MUSSA) Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Zungu (CCM) (mwenye kofia) akimkabidhi nahodha wa timu ya Ferry Beach Boys, Selemani Ally 'Kaseja' namba ya Pikipiki hiyo, Dar es Salaam leo.  

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge mteule wa jimbo la Singida Magharibi aanza kutekeleza kwa vitendo ahadi zake jimboni!

DSCN5358

Mbunge mteule jimbo la Singida magharibi (CCM),Elibariki Emmanuel Kingu,akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa vikundi nane vya wajasiriamali wanawake na vijana kata ya Puma juzi.Pomoja na kuvipa vikundi hivyo kila kimoja shilingi laki moja za kufungulia akaunti benki ya NMB,aliwaahidi mara tu watakapofungua akaunti,atawaingizia kila kikundi shilingi milioni moja ili kukuza mitaji yao.( Picha zote na Nathaniel Limu). Na Nathaniel Limu [IKUNGI] Mbunge mteule wa jimbo la Singida magharibi...

 

10 years ago

Michuzi

Mgombea wa Nafasi ya Uenyekiti Serikali ya Mtaa wa Oysterbay kwa tiketi ya CCM arudisha fomu

Mwenyekiti Mteule katika Uchaguzi wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi,Ndg. Zefrin Lubuva (kulia) akirejesha fomu ya kuwania nafasi hiyo kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi,Bi. Vicky Mwakasonda katika ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Oysterbay,jijini Dar es Salaam jana.Mwenyekiti Mteule katika Uchaguzi wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi,Ndg. Zefrin Lubuva akisaini fomu mbele ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi,Bi. Vicky Mwakasonda wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kutekeleza ahadi za Mgimwa jimboni kwake

Wakati Rais Jakaya Kikwete jana akiongoza mamia ya wakazi wa Mkoa wa Iringa na mikoa ya jirani kwenye mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa, Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameahidi kuwa Serikali itatekeleza ahadi alizotoa jimboni kwake.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yatakiwa kukiri kushindwa kutekeleza ahadi zake

rajab-mbarouk-april24-2013Na Debora Sanja, Dodoma

MBUNGE wa Ole, Rajab Mbarouk Mohamed (CUF), ameitaka Serikali kukiri kushindwa kutekeleza ahadi za Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa muda wa utekelezaji wake umekwisha.

Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, alisema kitendo cha Serikali kushindwa kukamilisha ahadi ya Kikwete ya kujenga barabara ya kilomita 2.5 ya Singano kwa Mkocho hadi Kivinje ni dalili ya kushindwa kwa Serikali hiyo.

“Kwanini Serikali hii ya CCM sasa isiwathibitishie wananchi kwamba imeshindwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza kutekeleza ahadi zake kwa wananchi wake kwa ujenzi wa ukuta kituo cha Afya Chumbuni

Katibu wa UVCCM Jimbo la Chumbuni Saadam Saleh akitowa maelezo wakati wa Mkutano wao na Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akiwa katika ziara yake kuwatembelea Vijana wa UV CCM Zanzibar Katibu wa UVCCM Wilaya ya Amani Unguja Ali Seif akizungumza na Vijana wa Jimbo la Chumbuni wakati wa ziara ya Katibu wa UVCCM Mhe Shaka Hamdu Shaka akiwa katika ziara yake kutembelea Vijana Zanzibar. Afisa wa UVCCM kutoka Makao Makuu Dar-es-Salaam Fatma Rashid akizungumza na Vijana wa UVCCM wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Segerea aapishwa na wakili binafsi

Baada ya kusubiri kwa muda wa wiki mbili ili wajumbe serikali ya mtaa wa Migombani-Segerea waapishwe na mamlaka husika bila mafanikio, wananchi wameamua kuwaapisha viongozi hao kwa kutumia wakili binafsi.

 

9 years ago

Michuzi

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza Kutekeleza Ahadi Zake kwa Wananchi wa Jimbo la Chumbuni kwa Ujenzi wa Ukuta Kituo cha Afya Chumbuni

Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar na Kamanda wa Vijana Jimbo la Chumbuni Mhe. Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwahutubia Vijana wa UVCCM Tawi la Chumbuni wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu wa Vijana Mhe Shaka Hamdu Shaka kutembelea Jumuiya za Vijama katika Majimbo ya Zanzibar.Vijana wa CCM wakimsikiliza Mbunge wao wakati wa mkutano ziara ya Katibu Mkuu wa UVCCM Tanzania Mhe Shaka Hamdu Shaka,mkutanom huo wa Vijana umefanyika tawi la CCM Chumbuni KarakanaMbunge wa Chumbuni Mhe Ussi Salum Pondeza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kagasheki akumbushwa kutekeleza ahadi

SERIKALI imekumbushwa kutekeleza ahadi yake ya kuwadhamini watu 100 wakiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupanda Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za miaka 52...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani