ZUNGU AANZA KUTEKELEZA AHADI ALIYOITOA WAKATI WA KAMPENI
Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Zungu (CCM) (mwenye kofia) akimkabidhi nahodha wa timu ya Ferry Beach Boys, Selemani Ally 'Kaseja' nyaraka za Pikipiki aina ya GSM ayowaahidi wakati wa Kampeni zake, jijini Dar es Salaam leo .(PICHA NA KHAMISI MUSSA)
Mbunge wa Jimbo la Ilala Mussa Zungu (CCM) (mwenye kofia) akimkabidhi nahodha wa timu ya Ferry Beach Boys, Selemani Ally 'Kaseja' namba ya Pikipiki hiyo, Dar es Salaam leo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nJLpogASdOs/VUkzgC-z1lI/AAAAAAAHVnM/XNH-On_nU34/s72-c/IMG-20150505-WA032.jpg)
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay aanza kutekeleza ahadi
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJLpogASdOs/VUkzgC-z1lI/AAAAAAAHVnM/XNH-On_nU34/s640/IMG-20150505-WA032.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Mbunge mteule wa jimbo la Singida Magharibi aanza kutekeleza kwa vitendo ahadi zake jimboni!
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza kutekeleza ahadi zake kwa wananchi wake kwa ujenzi wa ukuta kituo cha Afya Chumbuni
9 years ago
MichuziMbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza Kutekeleza Ahadi Zake kwa Wananchi wa Jimbo la Chumbuni kwa Ujenzi wa Ukuta Kituo cha Afya Chumbuni
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-b7i9LJY1jBg/Vmu1fRMngKI/AAAAAAAA1gg/rP4dD8dZWlI/s72-c/IMG_20151211_125213.jpg)
WASOMI KUJADILI HOTUBA YA RAIS DK. MAGUFULI ALIYOITOA WAKATI WA KUFUNGUA BUNGE MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7i9LJY1jBg/Vmu1fRMngKI/AAAAAAAA1gg/rP4dD8dZWlI/s640/IMG_20151211_125213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DuDOkKJqbic/Vmu2cphOxiI/AAAAAAAA1go/VYpWNcGOyow/s640/IMG_20151211_125910.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wCzqILwNUtk/VW4DurT5SeI/AAAAAAAHbfs/VH9Y34gr4qI/s72-c/Mwandosya-Mark.jpg)
11 years ago
Habarileo06 Jun
Wahisani waanza kutekeleza ahadi
KILIO cha wabunge kuhusu baadhi ya wizara kukosa fedha kama zilivyoidhinishwa na Bunge katika Bajeti inayoisha, kimesikika ambapo mazungumzo kati ya Serikali na wahisani, yamezaa matunda kwa baadhi ya wahisani kukubali kutoa fedha hizo kabla la Juni 30, mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kagasheki akumbushwa kutekeleza ahadi
SERIKALI imekumbushwa kutekeleza ahadi yake ya kuwadhamini watu 100 wakiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupanda Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za miaka 52...
10 years ago
Habarileo10 Aug
JK: Sifa yangu ni kutekeleza ahadi
HUKU akikaribia kukabidhi madaraka kwa Rais wa Awamu ya Tano baadaye mwaka huu, Rais Jakaya Kikwete amesema moja ya sifa yake na ya chama tawala, CCM, ni kutekeleza ahadi walizowaahidi Watanzania wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010.